Kwanini wanawake hawapendi kutumia Kondomu!

Kwanini wanawake hawapendi kutumia Kondomu!

Wanawake wengi huwaamini wapenzi wao kwa kupima kwa macho. kwao wao wanadhani ukimwi uko mbali sana. walio makini kwa kiasi ni ma bar maids,hawa huwa makini sana na wakati mwingine hutaka washuhudie ikivaa vizuri na salama kwa mchezo.

Uko deep!!
 
Tamaa zao tu, na hii mada ndo ukweli mtupu anayepinga anapinga tu lkn ukweli ndo huo
 
Zaidi ya mara kadhaa ya relation ship zangu nimegundua Wanawake ndo watu wa kwanza kupinga matumizi ya mpira kwa kisingizio cha kuwaumiza. Na mara nyingi Mwanaume asipo kuwa na msimamo katika matumizi ya condom basi matumizi huishia hapo Na kuwa kavu kavu, kikubwa wanachojali ni Mimba tu so wakiwa wapo kwenye safe days wanaona wapo Safe kwa kila kitu

GT hasa Wadada naomba mje mdadavue hili na kutupa majibu

ni ukweli mademu hawapendi condom kwa kuwa hawasikii UTAMU.... akijua we ni chapa ilale atataka condom... Ila akiona utaendelea kumchapa for months lazima atakufanyia visa uchape kavu...
 
Ndio maana ni salama zaidi kulala na changudoa kuliko hawa mademu wa mtaani. Mimi hawa wa mitaani kondom mara ya pili au zaid hawataki, ni siku ya kwanza tu.
 
Ndio maana ni salama zaidi kulala na changudoa kuliko hawa mademu wa mtaani. Mimi hawa wa mitaani kondom mara ya pili au zaid hawataki, ni siku ya kwanza tu.

Mkuu you have a point. changu mkikutana kesho hana habari na ww. lkn hivi vicheche vingine mara naomba vocha mara hela ya nini wakati papuchi ni ile ile
 
tutaliingiza kwenye katiba.
haki ya kutumia condom
 
Zaidi ya mara kadhaa ya relation ship zangu nimegundua Wanawake ndo watu wa kwanza kupinga matumizi ya mpira kwa kisingizio cha kuwaumiza. Na mara nyingi Mwanaume asipo kuwa na msimamo katika matumizi ya condom basi matumizi huishia hapo Na kuwa kavu kavu, kikubwa wanachojali ni Mimba tu so wakiwa wapo kwenye safe days wanaona wapo Safe kwa kila kitu

GT hasa Wadada naomba mje mdadavue hili na kutupa majibu

mazoea ya wanawake...wengi wao waliozoeshwa kavu na majaa zao wakwanza kwanza huwa ndo wanakua risky sana hao..kwasababu wakikutana na kisu kama mimi nitamuopoa alafu anilazimishe kumla kavu mie nibaki naduwaa
 
CONDOM haikutengenezwa kuzuia ukimwi ilitengenezwa kuzuia mimba tu, kama mtu ana ukimwi ukavaa na ku pampu usiku kucha basi UKIMWI utapata tu maana kuna vitundu vidogo sana viko kwenye kondom ambavyo vinaonekana kwa darubini vina uwezo wa kupitisha virus kwa asilimia 3
 
CONDOM haikutengenezwa kuzuia ukimwi ilitengenezwa kuzuia mimba tu, kama mtu ana ukimwi ukavaa na ku pampu usiku kucha basi UKIMWI utapata tu maana kuna vitundu vidogo sana viko kwenye kondom ambavyo vinaonekana kwa darubini vina uwezo wa kupitisha virus kwa asilimia 3
Any supporting document based on research mkuu????!!!
 
Kiukweli wanawake hawanaga sauti ya ushawishi juu ya matumizi ya CONDOM hilo nshalifanyia utafti kwa muda mrefu sana.
Mwanamke ni mwepesi sana kutamka matumizi ya kinga kwenye maongezi lakini kunako 6/6 ni dhaifu sana na kinachochangia ni kwamba me huanza kumpandisha mihemko ke na afikiapo kuerect tiari ke anakuwa keshalegea anachohitaji ni kuingiliwa tu na hata akileta upinzani hukosa nguvu ya ushawishi ni kwasababu mara zote hawapendi kuipoteza hali ya mihemko aliyoifikia!

Kwanza kabisa wanawake wengi wanapata fungus kwa sababu ya kondom......halafu tatizo lingine hua inakata stimu cuz anakua hafeel Ile original flavour ya Mwanamume so majimaji yanakata anakua mkavu....Kitu ambacho kinamsababishia asifeel game vizur......Sijui kama Ni kwa Wote!!
 
kiukweli wanawake hawanaga sauti ya ushawishi juu ya matumizi ya condom hilo nshalifanyia utafti kwa muda mrefu sana.mwanamke ni mwepesi sana kutamka matumizi ya kinga kwenye maongezi lakini kunako 6/6 ni dhaifu sana na kinachochangia ni kwamba me huanza kumpandisha mihemko ke na afikiapo kuerect tiari ke anakuwa keshalegea anachohitaji ni kuingiliwa tu na hata akileta upinzani hukosa nguvu ya ushawishi ni kwasababu mara zote hawapendi kuipoteza hali ya mihemko aliyoifikia!
unaibiwa mcha kweupe wewe!
 
Back
Top Bottom