Recent content by rooyen

  1. R

    B.Fernandes: Mtanzania aliyekataa mshahara wa Mil 425 marekani arejea Tz

    Baba yake ni mtume na mama ni nabii so soon na yeye atakuwa kati ya mtume au nabii njia nyepesi sana yakupiga pesa ndefu na watu wakakuabudu
  2. R

    DAR: RC Makonda awataja Askari 9 watuhumiwa kushirikiana na mtandao wa Dawa za Kulevya. Wamo wasanii

    Biashara ya madawa ya kulevya ni ngumu sana hapo makonda alichokifanya ni kama kuongeza dhamani ya unga ni kama mirungi sasa hivi kile kichanga cha kati ya sh2500 - 4000 sasa kinauzwa 6000 - 8000 sasa wale wauzaji ndio wanazidi kutajirika na kwenye unga ndio hivyo hivyo
  3. R

    mahaba ya tanga

    Tanga hatuvai shanga hata siku moja
  4. R

    Fridge 90W vs radio 250W kifaa gani kinakula umeme zaidi

    Funguwa funga ya kila mara ndio ina sababisha ile umeme compressor ina kuwa on mda wote mm
  5. R

    Fridge 90W vs radio 250W kifaa gani kinakula umeme zaidi

    Ninacho juwa mm ni friji lina kula umeme pale tu likiwa lina funguliwa na kufungwa kila mara kwasababu compressor inakuwa inafanya mda wote jaribu kulizima mchana na kuliwasha usiku utaona tofauti ya matumizi ya umeme
  6. R

    Nini tofauti kati ya mwanamke malaya au kahaba?

    Mm ninavyo juwa malaya ni mwanamke au mwanaume mwenye mpenzi zaidi ya mmoja tuseme mpenda ngono na KAHABA ni mwanamke anayetowa huduma ya ngono kwa malipo kwa maana nyengine ni mfanya biashara ya ngono.
  7. R

    Rose Muhando: Nafikiria kurudi kwenye Uislamu

    ukristo hautaki mtu wa vuguvugu unataka mtu awe moto au baridi kama kweli kasema ina maana yeye ni vuguvugu tayari atoke tu kwenye kundi sio mfano mzuri
  8. R

    Tunatumikia ibada tusizozijua na bila kufahamu

    tukizungumzia ibada za kishetani hata mwenge, bunge, bendera na mambo mengi yanayo husisha na hayo ni ibada za kishetani sii keki na ndafu hat ile kugongeana glass
  9. R

    Wajue Masupasta 10 waliofariki kwa ugonjwa wa UKIMWI

    lakini hapa ukiangalia robo 3 ni ma gay
  10. R

    Huyu ndiye binti anayedai kubakwa na mume wa Flora Mbasha

    Huyu hakubakwa alitaka mwenyewe sii umri wa kubakwa huu
  11. R

    Ipo siku Ustaadhi Ilunga atasababisha damu imwagike nchini!

    makanisa yamevunjwa mali za kanisa zimeibwa mapandri wameuliwa na watazidi kuuliwa serekali inaonekana kama inawatetea au kuwaogopa hao wafanyao haya matukio lakini siku shekh akijakuuliwa ndio serekali itakuja amka na itakuwa imesha chelewa
  12. R

    hili sijawahi waona wazungu wakiigiza ktk filamu zao

    mbona movie nyingi tu zina onyesha akina mama wananyonyesha watoto?
  13. R

    hili sijawahi waona wazungu wakiigiza ktk filamu zao

    tatizo lako unaangalia sana filamu za kichina na kivita
  14. R

    Dar es Salaam City in Photos

    magorofa hayana maana kama maji, umeme, barabara na elimu hakuna
Back
Top Bottom