Nini tofauti kati ya mwanamke malaya au kahaba?

Nini tofauti kati ya mwanamke malaya au kahaba?

CHIEF JJ

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
1,075
Reaction score
358
Natumainia ni wazima wa afya,

Kuna wanawake hawa nashindwa sana kuwatofautisha yani unakuta mtu anasema yule mwanamke ni malaya sana na mwingine anasema yule mwanamke ni kahaba.

Sasa nataka kujua kuwa malaya wakoje na makahaba wakoje?

Msaada please
 
Natumainia ni wazima wa afya,

Kuna wanawake hawa nashindwa sana kuwatofautisha yani unakuta mtu anasema yule mwanamke ni malaya sana na mwingine anasema yule mwanamke ni kahaba.

Sasa nataka kujua kuwa malaya wakoje na makahaba wakoje?

Msaada please

Angalia kamusi
 
Malaya ni mwanamke(Anaweza kuwa single or aliyeolewa) ambaye anagongwa sana, hatulii na mwanamme mmoja,
Kahaba ni mwanamke anayegongwa kwa malipo
 
Kahaba ni yule anayeuza papuchi,Malaya kwa lugha nyingine ni mama huruma unaweza jigongea tu na anagawa kwa yoyote.
 
Kahaba huwa ana wamiliki wanaume katika nyumba yake anakupukutisha halafu anakutimua,Malaya yeye haishi na mume ktk nyumba yake yy zake juu kwa juu unamvuta ana kudumia,anachukua mwingine mbele yako anaenda yaani kama vuvuzela kila mtu anapuliza anampa mwenzie hamna wivu hapo
 
Mm ninavyo juwa malaya ni mwanamke au mwanaume mwenye mpenzi zaidi ya mmoja tuseme mpenda ngono na KAHABA ni mwanamke anayetowa huduma ya ngono kwa malipo kwa maana nyengine ni mfanya biashara ya ngono.
 
Mm ninavyo juwa malaya ni mwanamke au mwanaume mwenye mpenzi zaidi ya mmoja tuseme mpenda ngono na KAHABA ni mwanamke anayetowa huduma ya ngono kwa malipo kwa maana nyengine ni mfanya biashara ya ngono.

aiseee sinunui tena papuchi hapa nimepata mwanga sasa
 
Back
Top Bottom