Recent content by rookieRealtor

  1. R

    Putin atamka kumlinda Raisi wa Burkina Faso " Ibrahim Traore" dhidi ya mataifa yanayotaka kumkamata

    Amebadilisha mkoloni tuu.... ila wote ni walewale....mpaka siku waafrika tutakapo amka
  2. R

    Natafuta Jengo kwa ajili ya kufanya Hospital

    jengo la ghorofa mbili vyumba 24 litakufaa? eneo Tegeta. Nimejaribu ku PM sijafanikiwa
  3. R

    Godbless Lema na ukweli mchungu kuhusu mtu mweusi

    kote huko kwanini ...aangalie South Africa ya mweusi na South Africa ya mweupe(bila sera ya ubaguzi). ....na Zimbabwe...... au angalia mradi hapa nchini uliokuwa chini ya mzungu then wakaondoka na kuwapa wazawa .....
  4. R

    Vodacom Hawajitambui.

    Vodacom Tanzania
  5. R

    Mbegu hii naipata wapi nahitaji sana

    Nenda kenya au South Africa.....kama uwezo upo kaitafute Denmark au Holland
  6. R

    Tunaelekea wapi jamani? Mfuko wa saruji(cement) umefikia Sh. 15,500/= Kigamboni

    Waziri anadai demand imekuwa kubwa kipindi Hiki!!!
  7. R

    Natafuta Gari niendeshe uber(dreva)

    Gari ya mwaka 1994 inakubalika?....make ni Toyota.
  8. R

    Natafuta Gari niendeshe uber(dreva)

    Ninayo ..ina ac, rangi mpya, matairi etc .... ila ni ya mwaka 1994!
  9. R

    Is Tanzania a "Mineral Republic"?

    Banana republic - Wikipedia In political science, the term banana republic describes a politically unstable country with an economy dependent upon the exportation of a limited-resource product, e.g. bananas, minerals, etc. It was invented by American author O. Henry in 1904 in reference to...
  10. R

    Hivi ni kweli mwenye GPA ya lower second class(3.4) asahau kuhusu scholarship katika nchi za Ulaya?

    Sio kweli ...wewe apply kila inayopita mbele yako! Nina fahamu watu watatu wenye GPA za kawaida tuu walipata scholarship ulaya...ila wao wali kuwa wana apply kila scholarship wanayoiona imetangazwa.
  11. R

    Ugumu wa Biashara: Nakumatt tawi la Mlimani City Jijini Dar es Salaam yafungwa kisa kushindwa kulipa kodi

    Nafikiri haina uhusiano na hali ya Tanzania ....ni matatizo yao wenyewe New low for Nakumatt as it shuts down its Junction Mall outlet https://citizentv.co.ke/news/nakumatt-closes-yet-another-branch-in-nairobi-177644/ Who will benefit from Nakumatt’s problems?
Back
Top Bottom