Recent content by Rommyx_14

  1. Rommyx_14

    JamiiForums Tanzania CHADEMA itasababisha Mauaji mwaka 2015

    Toa maoni yako, sio kejeli kwa hii thread, mnakuwa kama mmekunya viroba wakati wa jua kali. Mnaudhi kweli yani.
  2. Rommyx_14

    JamiiForums Tanzania Polisi Wanafanya maandamano jijini Arusha na Mwanga Mkoani Kilimanjaro

    Mnamfananisha polisi kama shakira ee si etiie?
  3. Rommyx_14

    JamiiForums Tanzania LEMA Arusha: Njoo na Mkate, Njoo na Maji, Maandamano bila kikomo 20/9/2014

    Andaeni na miili vizuri kwa ajili ya stick
  4. Rommyx_14

    JamiiForums Tanzania Mbowe: Nimeitwa kwa DCI Manumba

    Acha kupotosha watu hapa, Manumba alishastaafu muda.
  5. Rommyx_14

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi Bishanga Bashaija?

    Dah huyu jamaa nikuwa namkubali sana. Kwa sasa anajishughulisha na nn
  6. Rommyx_14

    JamiiForums Tanzania Mungu nisaidie nisipate mtoto wa kike

    ungemuuliza sababu ndo ukaja hapa jamvini, binafsi napenda kuwa na mtoto yeyote. Nina wa kike first born, mwisho watatu tu! Ikitokea wote watatu kuwa wa kike poa tu nasitisha zoezi.
  7. Rommyx_14

    JamiiForums Tanzania Jifunze kupokea wageni uwanja wa ndege

    Somo zuri
  8. Rommyx_14

    JamiiForums Tanzania Sina nyota ya kukataliwa na mwanamke

    Dah hongera kwa kujijali.. ila kuwa makini mkuu, maana siku hizi si kama zama za miaka ya tisini, aliyeukwaa unamjua hata bila kutumia darubini. Zama hizi kuna ARV`s.
  9. Rommyx_14

    JamiiForums Tanzania Sina nyota ya kukataliwa na mwanamke

    Una nyota ya Ukimwi.
  10. Rommyx_14

    JamiiForums Tanzania Kikwete awatimua makada wa CCM waliokusanyika kumpokea

    Amefanya jambo jema sana. Na hao mabushlayer wajifunze, ishu za kitaifa wasijipendekeze kwa kuvaa nguo za chama.
Back
Top Bottom