ungemuuliza sababu ndo ukaja hapa jamvini, binafsi napenda kuwa na mtoto yeyote. Nina wa kike first born, mwisho watatu tu! Ikitokea wote watatu kuwa wa kike poa tu nasitisha zoezi.
Dah hongera kwa kujijali.. ila kuwa makini mkuu, maana siku hizi si kama zama za miaka ya tisini, aliyeukwaa unamjua hata bila kutumia darubini. Zama hizi kuna ARV`s.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.