chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,568
- 28,479
Habari wanna Jukwaa pendwa MMU
Sijui kama ni kawaida au jambo la ajabu.
Kila mwanamke ninayemtongoza hajawahi kunikatalia, yaani natongoza Majibu yanatiki ndani ya Siku mbili tu.
Sihongi wala nini natema maneno tu.
Kwa kweli nashangaa.
Wakuu kama mambo haya yanahusiana na mambo ya nyota tafadhali nielewesheni.
Sijui kama ni kawaida au jambo la ajabu.
Kila mwanamke ninayemtongoza hajawahi kunikatalia, yaani natongoza Majibu yanatiki ndani ya Siku mbili tu.
Sihongi wala nini natema maneno tu.
Kwa kweli nashangaa.
Wakuu kama mambo haya yanahusiana na mambo ya nyota tafadhali nielewesheni.