Recent content by rommy shabby

  1. rommy shabby

    Je, na wewe uliziona ndege 12 zikitembea kwa mstari jana usiku?

    Nilikuwa natoka kariakoo mitaa ya kwa mwinyi kama unaelekea kawe mida ya saa moja hv nikazioona nilishangaa sn na nilishindwa kujua kuwa ni kitu gani kile
  2. rommy shabby

    Tunasafirisha mzigo kutoka DAR kwenda SOUTH AFRICA

    Naomba kujua je gari inafika hadi Cape Town au inaishia mji gani na usalama wa kusafiri vitu upoje maana kuna kampun ukisafirisha vitu wanapita wanafunguafungua mizigo njian, naomba kujua inachukua muda gani gari kufika point ya mwisho, na gharama zenu munachaji kwa kila au kwa mzigo
  3. rommy shabby

    Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    Mie naomba msaada kupata leseni ya biashara ya ya dagaa wa kigoma kuleta dar
  4. rommy shabby

    Jinsi ya kufika Msumbiji (Maputo) kwa bus

    Dah Maputo jiandae na swala la lugha aiseeeee wale jamaa kingereza ata cha kuomba maji ni shida sn nilipata tabu sn Maputo, nilikuwa nataka line nikisota wn
  5. rommy shabby

    Hii ndio historia ya familia ya Sykes

    Yupo kwenye wimbo wa feruz wema wangu umeniponza, alikuwa anapiga guitar
  6. rommy shabby

    Kitabu cha Afrika Magufuli and Change chaingia Tanzania

    Naomba sn baadae kitafsiriwe ili ata na wasio jua lugha ya kingereza wapate kukisoma pia
  7. rommy shabby

    Tatizo lolote la PC/device

    Msaada laptop aina ya fujitsu zipo mbili moja haiwaki kabisaaaaa ila nilijaribu Kutoa ram, betri, hdd na Kuweka kwenye laptop nyingine aina hiyo hiyo ile pc Ikawaka nikajua issue sio ram wala betri wala Hdd, pc ya pili yenyewe inaonyesha kuwa chaji inaingia ila haiwaki kabisaaaaa so msaada...
  8. rommy shabby

    Uzi wa kupeana machimbo mbalimbali ya vifaa vya ujenzi na bei zake

    0622088300, location kimara corner, ukuomba ndg ndio maana hatukuweka location, so ww fika pale kaone mzigo kwanza, ila ni tiles nzr tu na pia hua ana mafundi wazuri sn wa tiles mie nimechukua hapo japo nitaendelea kuchukua maana naweka nusu nusu
  9. rommy shabby

    Uzi wa kupeana machimbo mbalimbali ya vifaa vya ujenzi na bei zake

    Yes hapo hapo mkuu shukran sn nilichukua mzigo wa kutosha pia najipanga tena kufata mzigo pale bei ni rafiki
  10. rommy shabby

    Ufisadi wote uliosomwa na CAG chanzo ni Hayati Magufuli

    Hayo mambo yako mtaani hawaelewi ata kdg na hakuna mtu atakuja kuelewa huko kitaa mwambie mama yako aendele kuchukua ushauri tu kwa mzee wa msoga
  11. rommy shabby

    Uzi wa kupeana machimbo mbalimbali ya vifaa vya ujenzi na bei zake

    Kimara corner na uzuri unafika pale unaangalia ukiona hakuna unazotaka unaweka oda yako, zinakuwa zimevunjika kdg sn kwenye angle kitu ambacho sio issue sn maana mafundi zile hua wanazikata maaana ata hizo mpya ni lazima ukute zimevunjika na lazima zikatwe hakuna nyumba inakosa vipande vya...
Back
Top Bottom