Mm nilimkaza mwanangu cjui huko chuoni moshi wanafundishwa nn? Askari akiona huna hatia anakasirika! AkikukutA na hatia anachekelea! Mm cjui bwana! Kitu kidogo! Kitu kidogo! Ktk mia wawili tu ndo waugwana[emoji4][emoji4]
Kwanza nawaza hivi waliotoa amri ya bei ya sukari na bei elekezi wanaona ndiyo inayotumika? Je dangote ? Hi nchi bwana we acha tu! Wamwache dangote afanye atakavyo ili mradi bei ya cement yake ni nzuri suala la mali ghafi anaitoa wapi halitupi unafuu wala c jema kwetu walalahoi! Tusishabikie...
Mwisho wayote tutasimama mbele ya Bwana tukijibu tuliyayatenda kwa kuficho hapa duniani huku tukiburuza wasio na hatia mahakamani! Kumbukeni tunapita tu c nyumbani hapa! Biblia yasema wazi shagwe ya waovu niyakitambo TU!
Mzarau chake mtumwa!muwe na shukurani watoto,!na adabu pya! Safari ni hatua! ASANTE MUNGU KWAKUTUWEZESHA KUPATA NDEGE!WASAMEHE WASIO NA SHUKURANI!
Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
KAMA hivyo ndivyo mambo yakivyo basi viongozi wanaozika demokrasia kwakisingizio cha kulinda amani na visingizio kibao watatuletea taabu na shida nayote hayo yanasababishwa na KUTOKUJIAMINI! BADILIKENI!!
Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
Tuliyoyapigani kwa wenzetu Africa kusini wasionewe na makaburu hayo tuliyoyakataa wenzetu wasitendewe cc tunawatendea watu wetu! Ila iko cku uonevu wa kidemokrasi UTAKOMA! YUKO MUNGU ASIYEPENDA HILA!HILA ZINAZALIWA N.A. DHAMBI! NA MWENYE HAKI HANA HILA! YATAKOMA!!
[emoji24] habari ya mjini imeliza wengi can u stop to send GODS PEOPLE TO HELL[emoji91] [emoji91] [emoji95] [emoji89] [emoji88] [emoji49] [emoji33] REV,POUL MSANGI
SUMU ITAKAYOANGAMIZA WANA TUNDURU HII HAPA: sulphur yakupulizia mikorosho yenye viambata vya sumu inauzwa sokoni pamoja na bidhaa zingine kama maharagwe na dagaa n.a. unga wa mahindi! Hupimwa kama sukari na vumbi lake huingia kwenye vyakula HIVYO! Kamati ya ulinzi n.a. usalama ya wilaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.