Somalia kinachopiganiwa ni kwamba USA hawataki kusikia kwenye hii dunia kuna nchi Hakuna kanisa hiyo ndo sababu wanataka ukafiri uwepo kila sehemu so Somalia Hakuna hiyo kitu ndo sababu ya kupigwa
Mm ndo nipo karibu nao zaidi wanachofanya Sio haki ila serikali inashirikiana nao hao wezi yaani mpaka kero unakuta mtu Kaja kununua bidhaa anaishia pale na pesa yote inaondoka yaani hadi kwetu biashara inakuwa ngumu
Hapa manzese utapeli wa waziwazi wanajifanya kuna mchezo wa bahati nasibu unachagua namba ya bahati unaposhinda unapewa pesa no wizi ambao serikali unaujua kuanzia ngazi ya wilaya mpaka ngapi wilaya wanajua kuwa wananchi wao wanaibiwa sasa inakuaje serikali inashirikiana na wahuni kuwatapeli...
Na ss tunahoji kama kweli mpo kwa nia safi ktk pesa ya escrow hakuna muislamu hata aliyehusika kutafunwa isipokuwa maaskofu na wasiokuwa waislam hapo vp jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.