muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,835
- 14,727
Makonda upo wapi?,wananchi wako wa Manzese wanaibiwa huko!,tupia jicho tafadhali..
DAR hiyo,aiseeeMazoba wakiisha na huo wizi utaisha.
Deo Carleone, mtu awe amelazimishwa au amecheza kwa hiyari yake as far as kuna uhuni umejificha nyuma yake ni kazi ya serikali kuusitisha mara moja.Wanalazimishwa kucheza huo mchezo?
Wanalazimishwa kucheza huo mchezo?