Recent content by rofa la tz

  1. rofa la tz

    Unapoenda ukweni unatakiwa uzingatie nini?

    Jamani wana JF naomba kuuliza hivi unapoenda ukweni unatakiwa uzingatie hasa vitu gani maana nasikia ukienda ukweni huwa kuna utaratibu mwingi sana naomba mnifahamishe.
  2. rofa la tz

    Vipers siyo poa, kamng'oa Mazembe

    [emoji3][emoji2][emoji1]
  3. rofa la tz

    Vipers siyo poa, kamng'oa Mazembe

    yanga?
  4. rofa la tz

    Vipers siyo poa, kamng'oa Mazembe

    kama nani huyo au yanga nini?
  5. rofa la tz

    Fahamu ukweli kuhusu kurefusha uume

    naomba wenye uzowefu wa jambo hilo watuambiye walipotumia nyeti zilikuwa kweli? au ni uongo wa wauzaji wa hizo dawa za miti shamba.
  6. rofa la tz

    Nataka nianzishe biashara ya kuuza simu used, ila sina uzoefu naomba wenye uzoefu wa hii biashara wanishauri

    Mimi naomba mnishauri, nataka nianzishe biashara ya kuuza simu used ila sina uzoefu naomba wenye uzoefu wa hii biashara wanishauri. Na ugumu zaidi nauona kwenye kuupata mzigo wa kununua ili uje kuuza sijui wananunua wapi hasa.
  7. rofa la tz

    TEAM KIBA TUJE APA

    Hahahaa bac hamia wcb
  8. rofa la tz

    TEAM KIBA TUJE APA

    Mtaisha
  9. rofa la tz

    Wanaume mabonge kulikoni?

    M napita 2
Back
Top Bottom