Jamani wana JF naomba kuuliza hivi unapoenda ukweni unatakiwa uzingatie hasa vitu gani maana nasikia ukienda ukweni huwa kuna utaratibu mwingi sana naomba mnifahamishe.
Mimi naomba mnishauri, nataka nianzishe biashara ya kuuza simu used ila sina uzoefu naomba wenye uzoefu wa hii biashara wanishauri.
Na ugumu zaidi nauona kwenye kuupata mzigo wa kununua ili uje kuuza sijui wananunua wapi hasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.