rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,165
- 43,854





















Wee jamaa unazingua sana ninechekaa kifala
Kuna unene wa aina mbili. Ukiona mtu mnene halafu matako yameingia ndani hao jamaa wana madushe balaa,





















Wee jamaa unazingua sana ninechekaa kifala
Kuna unene wa aina mbili. Ukiona mtu mnene halafu matako yameingia ndani hao jamaa wana madushe balaa,
Kuna unene wa aina mbili. Ukiona mtu mnene halafu matako yameingia ndani hao jamaa wana madushe balaa,
DuuHabari wanajamvi?
Ukifuatilia kwa makini fumanizi nyingi zinazotokea mjini, utakuta aliefumaniwa ni mke wa jamaa bonge bonge na ana kitambi cha utapiamlo. Sasa ukiwa bonge kuna shida gani haswa mpaka mke anaenda kugongwa kwingine?
Mimi mwili unaongezeka nimeamua kufanya mazoezi ya kufa mtu maana hii hali inatishia amani. Na nyie wadada hebu tuambieni kwanini mnatutenda sisi vibonge?










