Hakuna mchambuzi yeyote wa soka duniani akaichambua foul ya Leo tuliyopata penalty nikamuelewa..kikubwa tumebebwa hakuna ubishi na kwenye soka mambo kama haya yapo. This was a big game and referee should be very keen in decision.. Michael Oliver kafeli kwenye kuweka ile penalty, nauhakika...
Braza kwanza pole saana na kikubwa ube tulia halafu jikaze kiume umkalie kimya kwa muda mrefu, kama ni wako kweli itabaki atageuza shingo hata kama kuna jamaa anajipakulia mzigo
Ushauri huu nakupa kwa kuwa inaonesha unampenda saana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.