Hii inadhihirisha ni jinsi gani sisi wabongo tunamatumizi yasiyo na tija ya hizo teknolojia,wakati wenzetu wanapiga pesa ndefu kupitia AI,sisi tunauliza visasi vya kuwalipiza wazungu.
Huo msongamano wa abiria kwenye kituo chenu cha Kimara mida ya asubuhi,inaashiria jinsi gani kazi ya uendeshaji wa huo mfumo wa mabasi ya mwendo Kasi imeishawashinda,achieni ngazi mwachieni muwekezaji.
Katika kinyang'anyiro cha kugombea uraisi kwenye kura za Marekani,kuna baadhi ya majimbo yana wayahudi wengi mfano New York,usiposhinda majimbo hayo kura zako zinakuwa hazitoshi kukupa uraisi wa Marekani,kwa hiyo ikitokea mgombea uraisi anakuwa na sera zinazoenda kinyume na taifa la Israel...
Tatizo mimi huwa Nina mapengo lakini Bado kuna vishina vya meno Bado vimebaki,yaani meno hayakung'oka ila yalimomonyoka,sidhani kama meno bandia tatakaa.
Natumia AI kujifunza graphic designing,inanijibu maswali kwa kina ambayo yalipaswa yajibiwe na mwalimu darasani,ikishajibu swali inatoa na maelekezo mengine ya ziada ambayo yanaelekeana na topic niliyouiuliza.
Kwa ujumla AI kama utaamua kuitumia katika matumizi chanya itakufikisha kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.