Recent content by Rodwell mTZ

  1. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Kimara inaharibu taswira ya jiji la Dar, serikali haioni hii aibu?

    Tafsiri ya neno Mayala kwa lugha moja ya huko Kanda ya ziwa ni njaa.
  2. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Mbeya mjini wasipodhibitiwa watajenga hadi juu ya Kawetere, matokeo yake si mazuri baadae

    Hayo yote ni madhara ya kutawaliwa na CCM kwa mda marefu,cha ajabu mnaendelea kuimba kuwa October mnatiki tena.
  3. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Hivi inawezekanaje mtu mmoja kama Rostam kuweza kuwapita akili na ku-outsmart viongozi

    Mpaka Tanzania itakapopata kiongozi kama Ibrahim Traole ndipo majibu yataparikana.
  4. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Kweli mbwa sio msaada kwa ulinzi yani mwizi kaingia ndani jumapili hii kabeba flat TV na mbwa

    Mbona hao mbwa uliowataja wanaibiwa sana,jamaa wanamaujuzi ya kuwatorosha.
  5. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Leo nimemchanganya AI hadi akapaniki nakuanza kunifokea

    Hii inadhihirisha ni jinsi gani sisi wabongo tunamatumizi yasiyo na tija ya hizo teknolojia,wakati wenzetu wanapiga pesa ndefu kupitia AI,sisi tunauliza visasi vya kuwalipiza wazungu.
  6. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Huo msongamano wa abiria kwenye kituo chenu cha Kimara mida ya asubuhi,inaashiria jinsi gani kazi ya uendeshaji wa huo mfumo wa mabasi ya mwendo Kasi imeishawashinda,achieni ngazi mwachieni muwekezaji.
  7. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Israel inatarajia kuwaita askari wa akiba 60,000 ili kumalizia Operation ya kuiteka Gaza!!

    Hapa sijaelewa,wataiteka gaza pamoja na wanajeshi wa Hamas wakiwa ndani ya mahandaki?
  8. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Kiasi gani cha nguvu wanazo Wayahudi/Waisrael katika siasa na uchumi wa Marekani ?

    Katika kinyang'anyiro cha kugombea uraisi kwenye kura za Marekani,kuna baadhi ya majimbo yana wayahudi wengi mfano New York,usiposhinda majimbo hayo kura zako zinakuwa hazitoshi kukupa uraisi wa Marekani,kwa hiyo ikitokea mgombea uraisi anakuwa na sera zinazoenda kinyume na taifa la Israel...
  9. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Matunda

    Mazee hili tunda linaitwaje?
  10. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Matunda

    Safi sana,nimetamani sana hayo mapera kwenye picha,umewaza kitu kikubwa sana😁
  11. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Matunda

    Safi sana,nimetamani sana hayo mapera kwenye picha,umewaza kitu kikubwa sana😁
  12. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Niambie Hujawahi Kufanya Hizi 7 – Kama Umeshafanya, Laptop Yako Ina Countdown!

    Nyongeza; Usichomoe waya wa umeme kabla ya kuizima
  13. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Huduma ya meno bandia ipo , usibaki kibogoyo!

    Tatizo mimi huwa Nina mapengo lakini Bado kuna vishina vya meno Bado vimebaki,yaani meno hayakung'oka ila yalimomonyoka,sidhani kama meno bandia tatakaa.
  14. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa unaitumia vipi Akili Unde au (AI) katika kukuongezea kipato?

    Natumia AI kujifunza graphic designing,inanijibu maswali kwa kina ambayo yalipaswa yajibiwe na mwalimu darasani,ikishajibu swali inatoa na maelekezo mengine ya ziada ambayo yanaelekeana na topic niliyouiuliza. Kwa ujumla AI kama utaamua kuitumia katika matumizi chanya itakufikisha kwenye...
  15. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Natabiri: Kabla ya Siku 10 alizosema Askofu Gwajima kutimia atakuwa kashakamatwa

    Keyboard worrior lakini juu hamnazo
Back
Top Bottom