Uchambuzi wako ni wakina halafu hauna ushabiki kama tulivyozoea watu wengine wakiandika kuhusu hizi vita,kwa kweli umebobea katika medani za kimataifa.
Kusema kweli upo sawa vita ya tatu ya dunia imeishaanza,Kuna kosa Ukraine wanaenda kulifanya hivi karibuni litapelekea Urusi kuupiga nyuklia...
Hayo ni mambo ya kawaida katika jamii,ulitegemea nini? mke ana kuwa kazini masaa 10 halafu anakuwa na mume masaa mawili tu katika siku yanayobaki kulala,wanaomfaidi ni wale wanaokaa naye masaa 10.jipe moyo mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.