Recent content by Rodwell mTZ

  1. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Atheists wanaweza kuwa wagonjwa wa akili?

    Hayo mambo ya kukiita kitanda ni mashine ndiyo yanatupelekea tuwe nyuma kiteknolojia siku zote.
  2. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya chatgpt, Gemin na meta AI nani anatoa taarifa za kweli?

    Lakini ukae ukijua jinsi unavyozidi kuiuliza mambo kiutani ndivyo nayo inaendelea kukufahamu wewe kihivyo
  3. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Warioba Joseph Butiku amelazwa ICU. Ni rafiki wa Polepole

    Umeandika mambo mazito lakini cha ajabu umeweka emoji ya kucheka,au imejibonyeza bahati mbaya?
  4. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje parachichi tunauziwa bei kubwa hivi?

    Baada ya soko la nje la parachichi kufunguka matokeo yake parachichi limepanda thamani .
  5. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Muunganiko wa vita kubwa mbili,Urusi v Ukraine na Iran v USA pamoja na Israel,ni Wazi Sasa tuko kwenye vita kuu ya tatu ya Dunia

    Uchambuzi wako ni wakina halafu hauna ushabiki kama tulivyozoea watu wengine wakiandika kuhusu hizi vita,kwa kweli umebobea katika medani za kimataifa. Kusema kweli upo sawa vita ya tatu ya dunia imeishaanza,Kuna kosa Ukraine wanaenda kulifanya hivi karibuni litapelekea Urusi kuupiga nyuklia...
  6. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania South Africa balaa kwa wachumba

    Kwa hiyo umefuata mademu huko?
  7. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Watu wamejimaliza sana kumpa pesa ya hongera Zuchu, sasa je mkiwa na majambo yenu mnatarajia naye atafanya hivyo?

    Wee sikuwezi yaani umeishaongelea siasa kwenye huu uzi
  8. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Kwanini matukio ya Ngono za Kuagana kabla ya Harusi yanashika kasi Tanzania?

    Hayo ni mambo ya kawaida katika jamii,ulitegemea nini? mke ana kuwa kazini masaa 10 halafu anakuwa na mume masaa mawili tu katika siku yanayobaki kulala,wanaomfaidi ni wale wanaokaa naye masaa 10.jipe moyo mkuu.
  9. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Kwanini matukio ya Ngono za Kuagana kabla ya Harusi yanashika kasi Tanzania?

    Maisha ya uwoga uwoga siyo maisha kabisa, marriage is for strong minded men.
  10. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Tanzania tunatumia bidhaa gani toka Marekani? Dollar ya kazi gani?

    Smart phone uliyotumia kupost hii thread ni technology ya muisrael labda tuanzie hapo.
  11. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Hii nguo Kila nikiivaa nakutana na watu si chini ya watano Kwa siku wameivaa pia

    Kama unataka kuvaa nguzo ya peke yako inakubidi fundi akushonee ya gunia au kisalphate.
  12. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Wazee wa Ilala wamuomba raisi Samia kusaidia mgogoro wa Masjid Al Rishaad

    Swali Moja naomba kuelimishwa,hivi BAKWATA Wao ni dhehebu gani kati ya hayo aliyoyataja mwandishi wa Uzi?
  13. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Unashauri kipi kiongezwe na kipi kiondolewe kwenye mfumo wa JF?

    Jukwaa la mapenzi liondolewe.
  14. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Vitumbua vimeishamwagiwa mchanga hapo,huna chako kaa pembeni.
Back
Top Bottom