Zipo sababu kadhaa za kisayansi zinazoweza kuleta tsunami katika pwani zetu za Tanzania,Moja wapo ni hii hapa,mfano kimwondo kutoka anga za juu chenye ukubwa wa maeneo ya Sinza kijitonyama na Mwenge zikiunganishwa,kikidondoka baharini umbali wa takribani kilomita 400 toka kwenye fukwe zetu za...
Soko la hisa siyo kiashiria pekee cha Kujua kwamba kabila gani limewaacha mbali makabila mengine kiutajiri au kiuchumi,ukizingatia kua DSE Bado ni soko changa sana,Wala hata hisa zake huwa hazijawahi kupanda bei kiasi cha watu kuuziana hisa yaani hapo watu wamestick wanasuburia gawiwo la mwisho...
Rekebisha kichwa cha Uzi wako,hawajawaacha kwa mbali kama ulivyoandika kwa sababu hakuna official figures zozote zinazoonyesha orodha za utajiri wa makabila mbalimbali isipokuwa huwa tunabuni tu,nikiandika hivi sijadharau juhudi za wachaga katika kuchakalika kukuza uchumi wao,wako vizuri...
Hiyo timu unaiona ni kubwa ni kubwa kwako sababu umeiweka mioyoni mwako,hiyo ni timu ya kawaida sana ina haki sawa na timu zingine zinazocheza premier league ya TZ.
Chama kikubwa cha siasa ambacho kipo madarakani kimekosa ushawishi kwa wananchi,wananchi wamekigundua kuwa kina makandokando,basi kimeanza kutumia mwambuli wa dini ili kujinusuru,ila Kuna siku hata hizo mbinu chafu wanazitumia zitakuja kushindikana, believe me,kule Mexico Kuna chama kilitawala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.