Recent content by Robot la Matope

  1. Robot la Matope

    JamiiForums Tanzania KERO Makosa madogo ya Taarifa za NIDA yanawanyima wananchi huduma za NHIF, Serikali ipo kimya!

    @maxence melo yuko kimya, msibani haji, rambirambi hatoi
  2. Robot la Matope

    JamiiForums Tanzania KERO Makosa madogo ya Taarifa za NIDA yanawanyima wananchi huduma za NHIF, Serikali ipo kimya!

    Ni hatari zaidi na wanataka kuongeza gharama ifikapo 1 July... Huu ni ujambazi
  3. Robot la Matope

    JamiiForums Tanzania KERO Makosa madogo ya Taarifa za NIDA yanawanyima wananchi huduma za NHIF, Serikali ipo kimya!

    Sasa hivi wanafuta hata Bima za nyuma
  4. Robot la Matope

    JamiiForums Tanzania KERO Makosa madogo ya Taarifa za NIDA yanawanyima wananchi huduma za NHIF, Serikali ipo kimya!

    Kuna wakati taifa linafika mahali ambapo ukimya unakuwa ushiriki katika mateso. Leo, maelfu ya Watanzania wanashuhudia jambo ambalo linaumiza mioyo yao kila siku. Wazazi wetu, wale waliotulea kwa jasho, damu na machozi, wanazuiwa kupata huduma muhimu za afya kwa sababu ya tofauti ndogo sana...
  5. Robot la Matope

    JamiiForums Tanzania KERO Mpimbwe: Watumishi tulioajiriwa JUNI 2022 hatujapandishwa madaraja wala kulipwa Malimbikizo ya Mishahara

    Sasa ulijificha kwa sababu gani?? Kesho njoo ofisini
  6. Robot la Matope

    JamiiForums Tanzania Toyota Rumion bila kuiinua haiwezi kutumika Bongo, ni gharama kiasi gani kuipandisha juu?

    Kuna boya mmoja alisema ulipotezwa!!! Nafurahi kukuona mdogo wangu
  7. Robot la Matope

    JamiiForums Tanzania Toyota Rumion bila kuiinua haiwezi kutumika Bongo, ni gharama kiasi gani kuipandisha juu?

    Main point HAIWEZI TUMIKA BONGO!! Huu ndo msingi (foundation) wa uzi!!!! Mdau anauliza kwanini uinunue??? Mfano Unakutana na mwanamke wa kikurya aliyekeketwa unaambiwa hawezi kuzaa mpaka umnunule kile ki antena......... Kwanini umuoe, kwani hakuna wanyaturu, wairaq, wanyiramba nk???
  8. Robot la Matope

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya Samsung Galaxy S Series used hasa za kutoka Dubai

    Acheni kukalili Samsung Chukua huu mzigo Motorola Moto G86 Power 5G 8GB 512GB ★★★★★(2 customer reviews) Add to wishlist19Add to compare Display: 6.72” Back Camera:50MP+8MP Front Camera: 32MP Processor: Mediatek Dimensity 7300 (4 nm) Colour: Pantone: Spellbound, Golden Cypress, Cosmic Sky...
  9. Robot la Matope

    JamiiForums Tanzania Ruti ndefu zaidi ndani mkoa mmoja hapa Tanzania

    Kabanga Ngara mpaka Bukoba mjini ni 400KM
  10. Robot la Matope

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Kuna wimbi la Vyuo vinavyotoa vyeti feki, vinaachiwa vinaendelea kufanya kazi na kuumiza watu wengi

    Unaandika dokezo afu unazunguka mbuyu?? Taja hivyo vyuo hapa tuanze navyo
Back
Top Bottom