Recent content by Robot la Matope

  1. Robot la Matope

    JamiiForums Tanzania Toyota Rumion bila kuiinua haiwezi kutumika Bongo, ni gharama kiasi gani kuipandisha juu?

    Kuna boya mmoja alisema ulipotezwa!!! Nafurahi kukuona mdogo wangu
  2. Robot la Matope

    JamiiForums Tanzania Toyota Rumion bila kuiinua haiwezi kutumika Bongo, ni gharama kiasi gani kuipandisha juu?

    Main point HAIWEZI TUMIKA BONGO!! Huu ndo msingi (foundation) wa uzi!!!! Mdau anauliza kwanini uinunue??? Mfano Unakutana na mwanamke wa kikurya aliyekeketwa unaambiwa hawezi kuzaa mpaka umnunule kile ki antena......... Kwanini umuoe, kwani hakuna wanyaturu, wairaq, wanyiramba nk???
  3. Robot la Matope

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya Samsung Galaxy S Series used hasa za kutoka Dubai

    Acheni kukalili Samsung Chukua huu mzigo Motorola Moto G86 Power 5G 8GB 512GB ★★★★★(2 customer reviews) Add to wishlist19Add to compare Display: 6.72” Back Camera:50MP+8MP Front Camera: 32MP Processor: Mediatek Dimensity 7300 (4 nm) Colour: Pantone: Spellbound, Golden Cypress, Cosmic Sky...
  4. Robot la Matope

    JamiiForums Tanzania Ruti ndefu zaidi ndani mkoa mmoja hapa Tanzania

    Kabanga Ngara mpaka Bukoba mjini ni 400KM
  5. Robot la Matope

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kuna wimbi la Vyuo vinavyotoa vyeti feki, vinaachiwa vinaendelea kufanya kazi na kuumiza watu wengi

    Unaandika dokezo afu unazunguka mbuyu?? Taja hivyo vyuo hapa tuanze navyo
  6. Robot la Matope

    JamiiForums Tanzania Majaji wetu tunawaheshimu, sema hamjiheshimu. Tukiwavunjia heshima msitulaumu

    Tunamchosha bure Mungu
  7. Robot la Matope

    JamiiForums Tanzania Majaji wetu tunawaheshimu, sema hamjiheshimu. Tukiwavunjia heshima msitulaumu

    Bahati mbaya mimi ni mvuvi tu.. sina mwanasheria na sijui sheria
Back
Top Bottom