Nilikua nasubiria placement zimetoka juzi nimekosa 😭😭😭😭😭
Nimefungua app inasoma not selected for oral interview wakati nilichaguliwa nikafanya oral vizuri 😢😢😢 sijajua ni system au shida nini jaman
Mm bro wangu alipata kazi zile za TRA mwez wa 2.
Sasa nikamuuliza kuhusu status (webb & app) kama na mm labda naweza kujua maana nimefanya oral 1.
Akanielekeza yy ilivyokua
Moja baada ya written interview status zilisoma selected for oral interview both webb & app
Akaenda kufanya oral interview...
Hi what's up guys naombeni msaada, mm niliaply kazi za brela (record management assistant ) sasa sijaitwa interview na kipindi cha nyuma huwa zote napata shortlisted ikabidi nifungue kwenye account nione shida ipo wapi wameniandikia hivi Not shortlisted (application letter not routed through...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.