njia ya uongo ni fupi,na haidumu.tatizo lililopo kubwa kabisa, ni kukosa Sera madhubuti ya uwekezaji ya kulinda raslimali zetu na masrahi ya taifa.ndo maana pengine huyu mwekezaji alipewa ahadi nyingi za kutengeneza super profit na ndiyo akavutika kuja. Awamu ya tano Iwe makini kurekebisha...
Huwezi kurekebisha kosa kwa kufanya kosa zaidi. pengine busara utumike zaidi kama mtizamo wa wizara ya Ardhi wa kurasimisha makazi, ni baada ya kugundua kuwa utaratibu ukifuatwa kama rula,wananchi wengi wataathilika.
utamlinganisha Madiba na Lema kweli??mlima Kilimanjaro na kakisuguu,au bahari na maji ya kifuu? msimpe mhe,kichwa sana., badala ya kumshauli afanye siasa za kiungwana.
hesabu simple kabisa, wana wanachama wangapi,na kadi itauzwa bei gani hadi wapate mibilioni hiyo.na kwa nini wakamuliwe wanachama wakati mgombea wao wa urais inasemekana ana ukwasi wa matilioni? kwa nini asiwalipie washabiki wake kadi tu,ni wazo tu washkaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.