Robert Kasaki
Senior Member
- Nov 12, 2014
- 196
- 105
utamlinganisha Madiba na Lema kweli??mlima Kilimanjaro na kakisuguu,au bahari na maji ya kifuu? msimpe mhe,kichwa sana., badala ya kumshauli afanye siasa za kiungwana.
Hahaha lema unamlinganisha na madiba kwi kwi kwi umaarufu kweli unatafutwa kwa njia nyingiAnaandika Comred Malisa Godlisten
Mzee Madiba alipowekwa gerezani na utawala wa Kikaburu aliwatia moyo wananchi wa Afrika Kusini kwa kuwaambia "The battle is not over". Yani pamoja na kufungwa kwangu, msife moyo endelezeni mapambano. Lema anatoka mahakamani juzi anawatia moyo wananchi wa Arusha maneno kama yale ya Madiba. Anawaambia "Kuweni na moyo mkuu msiogope". Inaumiza, inasikitisha, inatia hasira. Hasa ukifikiria kwamba haya yanafanyika katika nchi huru, bora Madiba alifanyiwa wakati wa ukoloni. Na hapa ndipo napokumbuka maneno ya Julius Malema kwamba "Not yet Uhuru". [HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG].!
Usimfananishe Mtukuka Madiba na mambo ya ovyo!!Anaandika Comred Malisa Godlisten
Mzee Madiba alipowekwa gerezani na utawala wa Kikaburu aliwatia moyo wananchi wa Afrika Kusini kwa kuwaambia "The battle is not over". Yani pamoja na kufungwa kwangu, msife moyo endelezeni mapambano. Lema anatoka mahakamani juzi anawatia moyo wananchi wa Arusha maneno kama yale ya Madiba. Anawaambia "Kuweni na moyo mkuu msiogope". Inaumiza, inasikitisha, inatia hasira. Hasa ukifikiria kwamba haya yanafanyika katika nchi huru, bora Madiba alifanyiwa wakati wa ukoloni. Na hapa ndipo napokumbuka maneno ya Julius Malema kwamba "Not yet Uhuru". [HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG].!
Lini Magufuli alitamka kwamba yeye ni mungu?Kitu kimoja ambacho rais anafikiri yeye ni Mungu na kwasababu amefikiri yeye ni Mungu, basi Mungu atasitisha maisha yake kabla ya Uchaguzi wa 2020".Godblesss Lema
Kumlinganisha Lema na Mandela ni umbumbumbu wa hali ya juu !!Anaandika Comred Malisa Godlisten
Mzee Madiba alipowekwa gerezani na utawala wa Kikaburu aliwatia moyo wananchi wa Afrika Kusini kwa kuwaambia "The battle is not over". Yani pamoja na kufungwa kwangu, msife moyo endelezeni mapambano. Lema anatoka mahakamani juzi anawatia moyo wananchi wa Arusha maneno kama yale ya Madiba. Anawaambia "Kuweni na moyo mkuu msiogope". Inaumiza, inasikitisha, inatia hasira. Hasa ukifikiria kwamba haya yanafanyika katika nchi huru, bora Madiba alifanyiwa wakati wa ukoloni. Na hapa ndipo napokumbuka maneno ya Julius Malema kwamba "Not yet Uhuru". [HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG].!
TuTajie mbunge mmoja aliewapigania raia wake wapate hayo yote?Lema anashindwa kuwapigania wapiga kura wake wapate Maji safi, elimu bora na Afya bora. Unawezaje kumfananisha na Mandela!? What a joke!
Ma mbwax utawajua tuu?ulijuaje kama kuna bash a huko?Huyo boya alishapata na basha huko ndani ndio maana hatak kukaa nje ili kutunza ndoa yake ya huko...
"Eti kama Mandela" alieleta huu uzi naye ni punga tuu
Mbowe.TuTajie mbunge mmoja aliewapigania raia wake wapate hayo yote?
Unapajua hai au unapasikia kwanza?Mbowe.
Hakuna aliekuuliza, na hata unachoongea ni hisia zako zimetokana na msukumo kutoka nje. Pole sana, time will tell mtakuja kukana maandiko yenu.Ila kikweli mim nilikuwa mkereketwa mkubwa sana wa chadema kutokana na kile walichokuwa wakinena kuhusu wizi na matatizo mengi ya kiutendaji katika serikali lakin baada ya huyu magufuri kufanya yaliyokuwa upande wao sina tena sababu ya kuendelea kuwa huko na sipo katika chama chochote cha siasa, sijui hata chadema wanachohangaikia ni nini hasa huyu lema. Ukihangaika na haya mavyama ukasahau haya mambo yana msimu utaonekana wa ajabu sana. Na kingine kinachokatisha moyo ni huyu mwenyekiti wa chadema taifa namwona ni mtu mjanja mjanja sana ni kitu kibaya sana kwa mwenyekiti kuwa na vituhuma vya uwizi uwizi na ujana ujanja.hapa ndipo ninapomwelewa zitto kabwe juu ya zile tuhuma za mbowe na nimrodi mkono na majibu yaliyotolewa kwamba zitto asiibue tuhuma mpya ajibu tuhuma zake: haya ni majibu ya hovyo kabisa kwa mwanasias anayetegemea uungwaji mkono kutoka kwa watu.
Mandela hajakomboa nchi yoyote Africa, usimfananishe na Nyerere. Madiba amekaa ndani miaka 27, ukijumlisha na ya nyuma alikuwa anapigania Uhuru wa nchi yake dhidi ya ubaguzi wa makaburu. Ili ukomboe nchi nyingine lazima uwe madarakani.Usimlinganishe Nelson Mandela (r.i.p) na upuuzi, tuwe na heshima na wakombozi wa bara la Africa.
Shujaa wa wavuta bangi.Lemani zaidi ya shujaa.
Tanzania hakuna mapambano,hakuna movement,maisha yanaendelea tu watu wanaamka asubuhi salama jioni wanalala salama.Anaandika Comred Malisa Godlisten
Mzee Madiba alipowekwa gerezani na utawala wa Kikaburu aliwatia moyo wananchi wa Afrika Kusini kwa kuwaambia "The battle is not over". Yani pamoja na kufungwa kwangu, msife moyo endelezeni mapambano. Lema anatoka mahakamani juzi anawatia moyo wananchi wa Arusha maneno kama yale ya Madiba. Anawaambia "Kuweni na moyo mkuu msiogope". Inaumiza, inasikitisha, inatia hasira. Hasa ukifikiria kwamba haya yanafanyika katika nchi huru, bora Madiba alifanyiwa wakati wa ukoloni. Na hapa ndipo napokumbuka maneno ya Julius Malema kwamba "Not yet Uhuru". [HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG].!
vyovyote itakavyokuwa siasa ndivyo zilivyo zinabadilika kulingana na wakati na matukio kama tu zilivyobadilika kwa upande wa chadema sasa ziko upande mwingine, lakini kabla ya kubadilika hapa kati hali ya chama inakuwaje? then napenda sana mtu anayekuwa huru kufikiri kuliko kufikiri kwa kichwa cha mtu mwingine...!!!Hakuna aliekuuliza, na hata unachoongea ni hisia zako zimetokana na msukumo kutoka nje. Pole sana, time will tell mtakuja kukana maandiko yenu.