Recent content by Robert James Masunga

  1. Robert James Masunga

    Watanzania akipigwa hata mmoja Kenya, sehemu walizowekeza wakenya tuzichome moto haraka sana.

    hiyo ‘na sisi’ una maanisha wewe na nani? jambo hili ni la kidiplomasia siyo mihemko. muache kabudi afanye kazi yake.
  2. Robert James Masunga

    Kauli ya Spika Ndugai kuhusu Makonda imetupa siri tatu muhimu

    kwa mid-fielders wale tukipata hata goli Afcon tushukuru Mungu.
  3. Robert James Masunga

    Hivi wanaume huwa mnawaza nini

    kuonga sunnah [emoji23][emoji23][emoji23] we tulia kwenye ndoa tu acha mbwembwe.
  4. Robert James Masunga

    Sababu za Majini/Mapepo Mengi kutopatana na Nyama ya Nguruwe

    ile nyama inalaumiwa bure tu haina hata hatia [emoji23][emoji23][emoji23] jana tu nimeila na Kili zangu kadha hadi raha
  5. Robert James Masunga

    Baada ya Masaa 72, Halima Mdee (Mbunge), ashindwa kutoka Korokoroni

    nayo itafika tu. the good thing with time is you can't stop it. makosa yake ni nini?
  6. Robert James Masunga

    Uhujumu Uchumi: Yusuf Manji asomewa mashtaka kitandani... Anyimwa dhamana!

    mambo ya tecno hayo...joto la herufi i linahamia herufi o [emoji23][emoji23][emoji23]
  7. Robert James Masunga

    Uhujumu Uchumi: Yusuf Manji asomewa mashtaka kitandani... Anyimwa dhamana!

    ahahaha. wajiongeze vipi sasa...na wao waumwe au?
  8. Robert James Masunga

    Zile mbwembwe za Netanyahu kuishambulia Iran zimeishia wapi?

    Iran na waarabu wenzake watimize kwanza ndoto zao za linacha za kuifuta Israel katika uso wa dunia afu waone cha moto.
  9. Robert James Masunga

    Meya Ubungo: RC amelazimisha bango la mtaa wa Wanyama kuondolewa, kisa waliomleta ni Clouds Media

    watu wasiotoa japo mchango wa kupiga danadana katika soka letu ndo hao wanajifanya eti wazalendo, my foot! huo mtaa unaitwa V.Wanyama with or without bango.
Back
Top Bottom