Zile mbwembwe za Netanyahu kuishambulia Iran zimeishia wapi?

Zile mbwembwe za Netanyahu kuishambulia Iran zimeishia wapi?

Jamani mi nahoji zile ndaru za netanyahu na israel kutishia kuishambulia iran toka mwaka wa 1980 mpaka leo mbona haijawaho kutokea?
Mbona israel hajarusha hata risasi?
Nimeamini israel ni weak state.
Iran na waarabu wenzake watimize kwanza ndoto zao za linacha za kuifuta Israel katika uso wa dunia afu waone cha moto.
 
Jamani mi nahoji zile ndaru za netanyahu na israel kutishia kuishambulia iran toka mwaka wa 1980 mpaka leo mbona haijawaho kutokea?
Mbona israel hajarusha hata risasi?
Nimeamini israel ni weak state.
Mkuu Netanyahu aliingia madarakani mwaka gani kwani? Na hiyo kauli waeza tupatia japo link?
 
Kuna haja ya kugundua kifaa cha ku inspect thoughts kabla mtu hajaharisha pumba! Electromagnetic Brain Inspector-wireless(EBI-w)
 
Kulitulia mmeshaanza ku-practice ilimu islam...[emoji12]
 
Wewe Yahya unajua hata maana ya neno akili? Majuhan kama wewe ndye yanatumiaga neno akili hata hayajui akili ni ni ni? Au allah ndiye amewatuma safari hii mje na dizaiini hizi?
Akili za allah mtazijua atakapowakuta alikowaambia mwende mtanguli ati akitia mguu wake kule atawaokoa!

Koma.

Hata wewe ungekuwa na akili sidhani kama ungecomment hivi
 
Back
Top Bottom