Ukatoliki ulianza kuenea africa karne ya 17 huko ila ulishamiri sana karne ya 19 hadi ya 20 tena ulitumika kama njia ya kupenyeza wakoloni kututawala zaidi, na leo ni karne ya 21, tunapoenda papa mweusi atapatikana tuu.
Anaongelea Tanzania tena ni serikali ya Tanzania, ndio maana nimemjibu hvyo, na maana yangu ni kuwa serikali yetu haiangalii umesoma wapi na ulikuwa unalipa kaisi gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.