Mshana, mm Jana nimeota namba ya simu fulani nilipoamka nikajaribu kuipigia namba hiyo ikaita na mtu akapokea japo sikumfahamu sasa ndoto hii ina maana gani brother
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mkali wa malovedavi kati miaka ya 2006/7 yu wapi make ngoma zake hadi leo hii ukizisikiliza bado ni za moto haswa japo hatumskii wala kumuona mitandaoni.
Je, ndio kusema Tip-top connection wamemsahau ama yupo wapi kwa sasa. Kastaafu mziki ama anafanya nini?
Mwenye kujua taarifa za mkali...
Ndugu poleni na majukumu naomba msaada wa mawazo juu ya hili.
Leo katika harakati zangu za kuusaka mkate wetu wa kila siku nimevamiwa na kung'atwa na mbwa jike anaesadikika ana watoto wadogo ambao hataki mtu awasogelee.
Nimeongea na mmiliki wa mbwa huyo kanihakikishia kuwa mbwa wake hana...
Hey,
Natafuta mke alietayali kutengeneza familia mwaka huu 2019 kuanzia leo jan 26-hadi mungu atakapotuita.
SIFA ZAKE
1. awe mkweli
2. asiwe mzuri sana
3.awe maji ya kunde/ mweupe kias
4.kama ameshazaa ni vizuri zaidi
5. Umri 18-28
SIFA ZANGU
1.nmkweli na mwaminifu
2.mrefu kias...
Mzee baba hao viumbe n pasua kichwa mm nilishaachaga kuwaelewa siku nyingi sana Kama kweli yupo hivo achana nae tafuta mwingine alafu yawezekana anakuzid elimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.