robby un
Member
- Oct 6, 2018
- 52
- 39
Ndugu poleni na majukumu naomba msaada wa mawazo juu ya hili.
Leo katika harakati zangu za kuusaka mkate wetu wa kila siku nimevamiwa na kung'atwa na mbwa jike anaesadikika ana watoto wadogo ambao hataki mtu awasogelee.
Nimeongea na mmiliki wa mbwa huyo kanihakikishia kuwa mbwa wake hana ugonjwa wa kichaa kwani amekwisha chomwa chanjo ya kuzuia ugonjwa huo
Akawa amenisafisha kidonda kwa mafuta ya taa na kuweka dawa flani ya kienyeji. Ombi langu ndugu ni je haya mafuta ya taa ni dawa ama? Natanguliza shukrani zangu kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo katika harakati zangu za kuusaka mkate wetu wa kila siku nimevamiwa na kung'atwa na mbwa jike anaesadikika ana watoto wadogo ambao hataki mtu awasogelee.
Nimeongea na mmiliki wa mbwa huyo kanihakikishia kuwa mbwa wake hana ugonjwa wa kichaa kwani amekwisha chomwa chanjo ya kuzuia ugonjwa huo
Akawa amenisafisha kidonda kwa mafuta ya taa na kuweka dawa flani ya kienyeji. Ombi langu ndugu ni je haya mafuta ya taa ni dawa ama? Natanguliza shukrani zangu kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app