Recent content by rmn

  1. R

    Rais Dr Magufuli: Hata Ikulu wasipolipa Bili ya Umeme TANESCO ruksa kukata umeme

    Mkata umeme si yupo kwenye timu ya yanga huyu
  2. R

    TANZIA: Mzee Emanuel Makaidi, Mwenyekiti mwenza wa UKAWA afariki dunia

    Ni kweli kabisa mzee wetu makaid hatunae tena
  3. R

    Usichopenda kusikia: ACT-Wazalendo kuongoza dhidi ya CUF na NCCR mageuzi.!

    Point yangu mkuu nachokiona wananchi wengi hata chadema hawaijui vizuri wanachokifuata ni mtu tuu Lowassa kwenye fomu hiyo watatafuta picha yake na kuweka tick bac
  4. R

    Usichopenda kusikia: ACT-Wazalendo kuongoza dhidi ya CUF na NCCR mageuzi.!

    sawa hakutokua na neno ukawa je na ile picha ya mamvi haitokuwepo? je wananchi hapiga kura nayo hiyo hawaijui?
  5. R

    Marekani yagoma kutoa msaada wa sh trilioni 1 kisa rushwa kubwa kubwa kukithiri Tanzania!

    Kwa faida ya familia gani ndugu ukweli maisha yetu wengi ni magumu sana kazi za maana hakuna mishahara haikutani ni shiida kuanzia unapoamka asubuh mpaka unalala
  6. R

    Rangi ya kichwa cha uume ni cheupe kama mzungu

    atakua walikosea kumtahiri mara ya kwanza waliporudia mara ya pili ndio hutokea hivyo
  7. R

    Yaliyojiri uzinduzi wa Kampeni za Chama cha ACT-Wazalendo - Agosti 30, 2015

    wamekata umeme tayari huku masasi
  8. R

    Nimechekajeeeee

    Kwan hii reception si iko ukouko gorofa ya 90?
  9. R

    Masikini Hamis Kigwangalla, Akosa wadhamini 450 nchi nzima

    Mkuu tupia hiyo katuni kidogo tuione na sisi kama unayo
  10. R

    Engine zinazodumu kwa muda mrefu

    Kweli mkuu hizi 1kz zinasumbua sana hasa zikifa turbo
  11. R

    Engine zinazodumu kwa muda mrefu

    Mkuu. Hii Engine Mr20de ni model ya nissan inatumia mafuta ya petrol ni engine mpya kabisa za kisasa zinazotumia mfumo wa EFI
  12. R

    Engine zinazodumu kwa muda mrefu

    Bei ya engine ya 2c used ya dubai pale ilala 2.3-2m ila hii ya 1kz ipo juu sana kama 3L na 5L hiyo inacheza kwenye 4.5-4.2m used ya dubai
  13. R

    Engine zinazodumu kwa muda mrefu

    Toyota hiace zinaweza kufungwa injini ya 2y,3y,1rz,2rz na 3rz kwa matumizi ya mafuta ya petrol na 2l,3l,5l,1kz na 2c kwa matumizi ya mafuta ya diseli.Engine rahisi kidogo kati ya zote hapo ni 2y na 3y
  14. R

    Mambo ya Kipanya -mbio za Ikulu kila mtu na lake hata wapambe

    Kipanya ni catoonist mzuri sana hapa kwetu Tz mi namkubali sana
Back
Top Bottom