Masikini Hamis Kigwangalla, Akosa wadhamini 450 nchi nzima

Masikini Hamis Kigwangalla, Akosa wadhamini 450 nchi nzima

Rio Tinto

Hahahahahahahahah..kigwanomics hahaha....kwa hali hii lazma mamvi aandamwe.
 
Last edited by a moderator:
Wenzie wanapata maelfu yeye hata 450 kakosa?Aaaaaahh kumbe jamaa alidandia treni kwa mbele
 
Alishajilipa mabasi mawili kutoka UDA, kayaweka daladala kahama nzega, tena kayaandika kigwangalla shimba nhosha. Nadhani baada ya october atayaita mbiti nhosha.
 
Mama HELLENA ELINAWINGA kaamua kazitelekeza fomu zake pale ccm makao makuu Dododma, anadai amechoka kuombwa rushwa.. Ha!ha!ha! Nchi ngumu hii hawajui watu wanataka pesa kabla ya sera?

mkono mtupu haulambwi, ukitaka kuonja chumvi chovya mwiko kwenye mchuzi.
 
Halafu kwenye foleni ya watia nia wa ccm yeye ndio katangulia mbele. Mchoraji wa ile katuni sijui aliwaza nini !!!!!

Mkuu tupia hiyo katuni kidogo tuione na sisi kama unayo
 
Foleni ya Ikulu.jpg

Kwa mujibu wa taarifa za timu yake ya kampeni inayojiita 'Citizens For Kigwangalla', Hamis Kigwangalla amezunguka mikoa 20 na amepata wadhamini 41,389, japokuwa amewasilisha fomu yake ikiwa na wadhamini 45 kwa kila mkoa, hivyo jumla amewasilisha fomu ikiwa na wadhamini 900.

Kama watu wasomi tungeacha kuzusha mambo kwa namna ya kitoto namna hii, mwisho wa siku tunajiaibisha na kuaibisha jukwaa bure bila sababu
 
Hamisi jamaa nimesikia yuko na vision na hii nchi. Mimi naamini anaweza pamoja sio chaguo langu. Tuache majungu watz na ushabiki.
 
Back
Top Bottom