R rmn Member Oct 16, 2011 23 5 Dec 2, 2014 #2 Kipanya ni catoonist mzuri sana hapa kwetu Tz mi namkubali sana
Chinga One JF-Expert Member May 7, 2013 11,450 12,317 Dec 2, 2014 #3 nimecheka eti "yani tuki ingia tu vogu" ha ha ha jamaa ana usongo dooh.
Elli Platinum Member Mar 17, 2008 55,502 86,050 Dec 2, 2014 #4 Chinga One said: nimecheka eti "yani tuki ingia tu vogu" ha ha ha jamaa ana usongo dooh. Click to expand... Mmoja anasema eti kuna demu kamsumbua mwaka mzima!!!! Itakuwa Little Angel tu huyo Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Chinga One said: nimecheka eti "yani tuki ingia tu vogu" ha ha ha jamaa ana usongo dooh. Click to expand... Mmoja anasema eti kuna demu kamsumbua mwaka mzima!!!! Itakuwa Little Angel tu huyo
Moisemusajiografii JF-Expert Member Nov 3, 2013 33,884 54,129 Dec 3, 2014 #6 Ndugu mgombea usifikiri ni wewe tu unaupenda urais.Kuna "wagombaniaji" wengi wapo nawe,natabasamu kwa sauti bado!
Ndugu mgombea usifikiri ni wewe tu unaupenda urais.Kuna "wagombaniaji" wengi wapo nawe,natabasamu kwa sauti bado!
HARUFU Platinum Member Jan 21, 2014 31,552 48,148 Dec 3, 2014 #7 Kweli wengi wao kinachoweka ni uchu tu wa madaraka lakini utendaji mara nyingi inakuwa kitendawili