Ni kwanini anashukuriwa Rais wakati suala hili lilikuwa ni la kimahakama na sheria? Rais hapa anaingiaje?
Au ndio ile kusema yeye ndio ana overrule kila kitu mpaka haki?
Utumwa wa fikra. Kudhani kujua lugha ya taifa jingine ni ufahari. Huo nao ni ujinga kama ujinga mwingine tu.
Kama unajua lugha za kigeni na unaona fahari na zinakusaidia wewe na familia yako, watu wengine yanawahusu nini?
Hii nayo ni mada?
Shida inaanzia kuwa mleta mada hajasema kipato kidogo anamaanisha kiasi gani?
Kipato ni subjective. Unachoona kidogo kwako mwingine ni kikubwa, na vice versa. Hivyo umeshauri vizuri ila haiwezi kuwa ndio standard au cut-across rule of life.
Kwa ujumla jamii imebadilika. Ukitenda wema lawama, ukijitenga lawama.
Ila wahenga walisema heri lawama kuliko fedheha!
Ndugu kama hawajielewi ni hatari kabisa kwa ustawi wa ndoa.
Punguza mihemko na makasiriko. Akili zako unazoona zinakutosha inaweza kuwa ndio upumbavu kwa mtu mwingine. Believe in your own interpretation. #idiot.
Ana kesi ya kujibu. Hajahukumiwa kwenda jela. Isubiliwe ajibu yanayomkabili.
Hilo ni shauri la mahakama, sio serikali.
Hakuna mahali Mama anawajibika kwa lolote katika shauri hilo.
Apewe nafasi ajibu mashauri yake, haki itendeke na ionekane ikitendeka.
Afrika bado safarinni ndefu sana. Umasikini na utumwa wa fikra. Sio kwa wasio enda shule wala ma professor wote almost mentality ni sawa.
Kuna kitu gani cha kujivunia au kufurahia kupata misaada kutoka Ulaya ikiwa nchi imejaliwa kila aina ya utajiri?
Omba omba!
Mtu ambaye hajawahi kutumia iPhone hawezi kujua aseme nini. Anachojua yeye ni kuwa iPhone ni bei kubwa. Hakuna kitu kingine anajua.
Sumsung, Google, LG, Oppo, Huawei, hTC, na zingine nyingi ni tofauti ya majina na brand tu lakini a simple fact ni kuwa zooote ni ANDROID.
Appe software ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.