Recent content by Riz2552

  1. R

    Natafuta mume

    Sawa Mkuu ,awe dini gani ?
  2. R

    Nimekutana na mawe yang'anayo Sana je ni dhahabu Au madini?

    Hayo yanayo ng'aa ni madini aina ya zinc,kama hujawahi chimba dhahabu unaweza fikiri ni yenyewe,lakini mara nyingi zinc na dhahabu hupatikana kwenye mawe,ila kwa haya ni madini aina ya zinc.
  3. R

    Kama umewahi kula kuku na mayai yake njoo utoe ushuhuda hapa

    Hahaha ! Mlunza Mzee wa kugawa mchuzi wa maharage .
  4. R

    Ndoa za wasomi

    Hakuna uhusiano kati ya Elimu na ndoa ,kutokua na elimu na ndoa ,ndoa ni habari nyingine ,mapenzi ya dhati na maelewano ndio kila kitu ktk ndoa.
  5. R

    Mrejesho: Nimekuta vitu vya mwanaume chumbani kwa mpenzi wangu

    Pole sana,ukisomesha mwanamke au kumtafutia kazi mara nyingi wanalipa kwa staili hii .
  6. R

    Inasikitisha: Kumbe kuna wanaume wako hivi..

    [emoji3] [emoji3] [emoji3]
  7. R

    Msichana wa mshkaji wangu amenipenda

    Ujafanya vizuri demu wa mshikaji wako huyo, sio ishu achana nae. Vp ingekuwa ww ndio umefanyiwa hivyo?
Back
Top Bottom