Inasikitisha: Kumbe kuna wanaume wako hivi..

Inasikitisha: Kumbe kuna wanaume wako hivi..

Bora hata kuchukua hao Malaya wanaojiuza unakuwa makini ukijua ni Malaya,kuliko hawa wasichana wa mtaani unajua uko peke yako kumbe mnapangwa poleni.
 
Tangazo limefika mkuu.. Utawaona inbox
 
kununua malaya ni ujinga...bora nipige puri kama nimeshindwa kuwa na mwanamke...
 
Unajifanya kuonesha maujuzi, kumukimbizia mwenzako wateja tu mfyuuu
 
Kuna mmoja nilimchukua, ile kuingiza tuu mara akaanza oooh baaaabby wangu mtamu weeeweee, wewe ndio mwanaumeee oooh yeeaah, kojoaaa basiii baby.. Nikamcheki, nikajifanya simsikii huku ninapiga mirusi kwa wingi. Baada kama dakika 10 nikaona mtu ameinuka kwa hasira akaniambia " Unajifanya unajua kugegeda sana? Mngese sana wewe, unataka kunipotezea wateja? Hiyo hela kama unaona kubwa kanunulie kiwanja."
 
Utakufa kwa kutaka sifa pale watu wanaenda kupunguza kibubu tu ndo mana 2minutes inatosha..demu wako na mkeo ndo mridhishe
 
Dah hiyo avatar yako inanikumbusha mbali...lile picha la predator na huyo Bill Duke si mchezo
Daah wewe acha tu movie za kitambo hizo. Ninazo Predator part I, II & III, huwa nikikaa miezi sita au 8 narudia kuziangalia.
 
haaaaa mkuu unataka kumuoa nn?
Hivi unapomnunuwa mwanamke... Dhamira yako UJIRIDHISHE? Au umridhishe?malaya hata ukimridhisha yeye yupo kazini...pale unapaswa UMALIZE UONDOKE..unampotezea muda wake..bure...kukaa kwako dk 30 angeshapata WATEJA 5 wa dk 6 kila mmoja...wakumridhisha ni mkeo nyumbani sio malaya anayejiuza..
 
Yaa..watu wa picha za zamani sie...humo kulikuwa na black mwingine anaitwa CARL WETHER..yule jamaa aliyekatwa Mkono na predetor huku anataka abadilishe MASHINE GUN mkono mwingine... Pch balaa mkuu..now hakuna DIRECTORS wala actors mkuu...
Mimi naipenda sana ile scene ya ndani ya helicopter kuna soundtrack moja hatari ya jamaa anaitwa Little Richard inaitwa Long Tall Sally nikiisikia hadi napata mzuka wa ajabu utafikiri namimi Commando. Itafute youtube ipo itakukumbusha mbali saana.
 
Mimi naipenda sana ile scene ya ndani ya helicopter kuna soundtrack moja hatari ya jamaa anaitwa Little Richard inaitwa Long Tall Sally nikiisikia hadi napata mzuka wa ajabu utafikiri namimi Commando. Itafute youtube ipo itakukumbusha mbali saana.
Kweli mkuu...lile sound track hatari sana.....mle kwenye helicopter yupo na mzungu mmoja amevaa pama hivi anatafuna tafuna..yaani mkuu leo tu nimejikumbusha..nimeliangalia mchana...predetor... Na DELTA FORCE...
 
Back
Top Bottom