Recent content by Riwa

  1. Riwa

    Natafuta Shamba Mapinga

    WanaJamii, Natafuta shamba la eka 2 au 3 maeneo ya Mapinga au Kerege. Mwenye nalo au connection tafadhali niDM. Lire Karima na line ya même na pare na uhakika wa maji ya kwa kuchimba kisima kirefu (borehole). Dr Riwa.
  2. Riwa

    Ninauza shamba zuri la umwagiliaji ekari 20 Londoto - Simanjiro

    Milioni 60 kwa ekari 20...ina maana kila ekari ni milioni 3! Ebu fafanua kuna investments gani tayari zipo hapo shambani kustahili bei hiyo?
  3. Riwa

    Kenya 2022 Jaji Othman Chande kuongoza Majaji waangalizi wa Pingamizi la Urais

    Duh....Tanzania tumekuwa tu 'waangalizi' wa wenzetu wakitekeleza demokrasia ya kweli. Toka marais wastaafu hadi majaji...waangalizi!
  4. Riwa

    Kwa maswali haya sensa imefeli kabla haijafanyika!

    Tunafanya sensa mara moja tu kila baada ya miaka 10....na bado watu wanaona maswali mengi! Issue hapa ni maswali ya msingi, yatasaidia kutambua ukubwa wa mahitaji ya msingi, by the way...huhitaji haya certificate ya darasa la 7 kuyajibu!
  5. Riwa

    Naomba kujuzwa mchanganyiko mzuri wa chakula cha nguruwe

    Ahsante kwa mawazo yako mgando. Na haya ndiyo yanayorudisha nyuma maendeleo...kwama aukijua kitu basi uendekeze u-mimi:confused:, kwamba ni mimi tu najua..mimi tu can get it right...pathetic!
  6. Riwa

    Ufugaji Nguruwe Kibiashara sio rahisi ila unawezekana🙂

    Bofya kwenye kitufe cha 'Search' hapo juu ya browser kulia, ingiza key word 'Nguruwe'...utapata list ya thread zote humu zinazohusu ufugaji wa Nguruwe, pamoja na majibu ya maswali yako mengi!!:(:(
  7. Riwa

    Naomba kujuzwa mchanganyiko mzuri wa chakula cha nguruwe

    Sijui. Lakini hata kama ni kubwa, si sababu ya kunyima watu ujuzi. Ujuzi unaweza ukashare bure, au ukatoza fedha/gharama. Tatizo ni kuwa wengi wa wafugaji wenye uzoefu wanabani hili, hata kwa fedha. Nimeshaomba wafugaji kadhaa kunifanyia kama consultancy nilipe, bado wazito.
  8. Riwa

    Kikwete ndiye Mwamba wa Siasa za Tanzania. 1995 alimwachia Mkapa, 2005 akaingia mwenyewe na 2015 akatuletea Shujaa Magufuli na Samia

    Duh...kama ni hivyo kweli ni mwamba!! Yaani hata kabla hajawahi kuwa Rais...aliamua nani awe Rais, na akawa! Na baada ya kuachia uRais, badoaliamua nani awe Rai anayemfuatia, na akawa!!:rolleyes::rolleyes:
  9. Riwa

    Natamani Sana kuanza ufugaji wa kuku kibiashara lakini bado sijaamua nifuge aina gani ya kuku kati ya broiler na chotara

    Nakushauri uende na Broiler. Soko la kuku-chotara gumu sana. Nilifuga kuku-chotara (Kroiler, Sasso) nikiwa na lengo la kufika kuku 800, nilistop kwa kuku 300 baada ya kuwaingiza sokoni na kugundua soko kubwa ni la broiler na kuku-kienyeji pure, chotara walikuwa wanakataliwa. Wakaishia...
  10. Riwa

    Naomba kujuzwa mchanganyiko mzuri wa chakula cha nguruwe

    Hii issue imekuwa siri kubwa sana kwa wafugaji wa Nguruwe. Binafsi nimeshafanya efforts za kuwasiliana na wafugaji wa Nguruwe wakubwa tu, na hata kutembelea mashamba yao....watakujibu kuwa hiyo ndio success formula yao kwenye soko la nyama ya Nguruwe. Sijui kwa nini kuna uguu wa kushirikishana...
  11. Riwa

    Maonesho na mnada wa ng'ombe yanaanza leo Ubena Zomozi

    Tunaomba mrejesho kuhusu haya maonyesho kwa sie ambao hatukupata bahati ya kwenda...ikiwa na picha itapendeza zaidi!
  12. Riwa

    Jogging pembeni ya barabara zinagharimu UHAI

    Nimeshaona kwenye platform nyingi, ukitokea mjadala kuhusu ajali barabarani kwa wakimbiaji/wafanya jogging/mazoezi, mara zote shutuma na pia shauri zinazotoka ni kwa wakimbiaji tu. Kwa nini watu hawaoni pia uzembe wa madereva wanasababisha hizo ajali? Kwa nini hazitolewi pia shauri kwa madereva...
  13. Riwa

    Makadirio ya gharama na mapato ya ekari moja ya mkonge

    Huyu mtaalamu Agricultural Reseacher mbona harudi hapa kujibu haya maswali ya msingi?
  14. Riwa

    Makadirio ya gharama na mapato ya ekari moja ya mkonge

    Samahani Researcher, sijaona sehemu umereflect bei ya mbegu/miche. Je, bei ya miche ya kisasa iliyo tayari kupandwa shambani inauzwa sh. ngapi kwa mche au sh. ngapi kwa hekari (ulisema hekari moja inaingia miche 3500 - 5000 kutgemea na style unayopanda (mraba mmoja/miwili)?
Back
Top Bottom