Mi nadhani ni muda muafaka wa kuacha kupambana na hao mashoga tuelekeze nguvu kupambana na hao wanaowafanyia hicho kitendo maarufu kwa jina la (bahasha au mabahasha) japo ni vigumu lakini itasaidia kupunguza kwa kiasi fulani kwa sababu ukipambana na hao mashoga ni vigumu kutokana na kile...
Pia usisahau Dar ndio jiji linaloongoza kwa watu kulala nje kama sio duniani basi ni Afrika mfano mzuri nenda fly over ya Tazara pembeni mwa ukuta wa kiwanda cha Bakhresa utawaona wamelala kuanzia saa tatu usiku na kuendelea pia Kariakoo utawakuta mtaa wa Kongo na Pemba na maeneo mengine.
Ni City Center Upanga la aliyekuwa Mchungaji kiongozi baadaye akateuliwa na hayati Magufuli kuwa Mkurugenzi wa Usalama taifa DG kwa sasa ni Balozi nchini Namibia naye si mwingine bali ni Dk. Modestus Francis Kipilimba.
Mkuu ni kumwelewa tu hivyo hivyo maana yeye hana taaluma ya uandishi wa habari, kiukweli mimi nimemuelewa yuko vizuri kwa maana ya hata waandishi wanafunzi watajifunza kupitia bandiko kama hizi kwamba hapa palitakiwa pawe hivi yeye mwenyewe mwanafunzi atalirekebisha kwa kusoma.
We mzinzi dhambi maana huyo kijana kuna siku atakuchoka
Umri wako tafadha
Vingi vinatokea Arusha na Kagera-Bukoba na ndio kwanza vimeanza kukijua kiingereza kwa mtu anayechanganya mbili ofauti ni ushamba wa lugha kama hakuna ulazima japo upo kwa asiye mtaalamu wa Kiswahili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.