Nilikuwa nimelala naota nyoka wananitembea usingizi umekata naogopa hapa sana siwezi lala tena
Mtalala na majiniNjoo tulale wote..
Au kwenye hiyo avatar sio wewe?
#YNWA
Duuh hamna pub karibu?Nilikuwa nimelala naota nyoka wananitembea usingizi umekata naogopa hapa sana ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ siwezi lala tena
Unatafuta Sponsor tunajua!!Ee jaman kwahiyo
Amka hapo kitandani simama usali, uvunje hiyo roho ya mauti! Mida hii wale waovu ndio hurudi mahali pao pa kazi kukabidhi mafaili ya kazi za uharibifu! Usikubali saa kumi ipite hujakemea hiyo roho ya uharibifu! Amka usali!Nilikuwa nimelala naota nyoka wananitembea usingizi umekata naogopa hapa sana ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ siwezi lala tena
You need prayers my dear...Nilikuwa nimelala naota nyoka wananitembea usingizi umekata naogopa hapa sana siwezi lala tena
Usiku kula matunda achana na na vyakula.Nilikuwa nimelala naota nyoka wananitembea usingizi umekata naogopa hapa sana ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ siwezi lala tena