Dada wa watu ameacha wachumba wengi shauri yako leo mganga anataka awatenganishe, namuonea huruma huyo dada kama ameanza kukataliwa mapema hivyo imekula kwake hata akiingia kwenye ndoa mama na mjomba watamletea gubu si la kitoto na ataondoka bila kuaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapotoa mada unatakiwa uwe na busara ,kumbuka humu mpo watu tofauti wapo ambao mama zao /baba zao ni single parent kabla ya kuolewa/kuoa na kuanzisha familia na maisha yakaenda na ukute wewe ukaoa mtoto alielelewa katika usingle so hayo ni maisha tu, waafrika kuendelea bado sana
Sent using...
Huyo ni kama niliempata mimi tena bora wako ana kazi ya maana mimi wangu alikuwa kinyozi saloon lkn mimi sikuona hatari kumpa pesa alipokuwa ananiomba coz naamini mtu ukimpenda hata hujiulizi mara mbili unampa tu coz nilimpenda kutoka moyoni, lkn nilikuwa nampa kwa staili ya kumkopesha ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.