Yaani hata tatizo siyo lugha Mama, watu wanabadilika tu wanaiga iga tu, mi hadi nikadhani labda ni vimisemo tu vitaisha, lakini unakuta hadi watu kama waandishi wa habari, wasoma habari tena kwa luninga anasoma 'abali' mi nakereka kweli, nkajua ni ndugu zangu wahaya tu kumbe siku hizi kila MTU...