Wanawake tulieni na ndoa zenu

Wanawake tulieni na ndoa zenu

Kila siku tabia ya nchi inabadikika uoto wa asili hali ya hewa ubadilika technologia & globalization so mwanadam we mfananishe na air condition hamna kingine zaidi ya hayo
 
Baadhi wanarithi hizi tabia toka kwny ukoo, nadhani ni kama laana ambayo labda iliachwa miaka ya nyuma hivyo inatafuna ukoo.
 
Badilisheni pambio basi maana tumecheza style moja mpk tumechoka sasa

Wanawake kucheat sio leo sema nini wa kizazi hiki hatuna siri ukitaka kuujua ukweli kamuulize mama yako
Necha necha necha my foot mtupe break babu eeeh!!! Na sie necha inazingua wanaume wenyewe vinukta na bado dk tatu chali na sie tuna necha ikikukera kunya boga
 
Badilisheni pambio basi maana tumecheza style moja mpk tumechoka sasa

Wanawake kucheat sio leo sema nini wa kizazi hiki hatuna siri ukitaka kuujua ukweli kamuulize mama yako
Necha necha necha my foot mtupe break babu eeeh!!! Na sie necha inazingua wanaume wenyewe vinukta na bado dk tatu chali na sie tuna necha ikikukera kunya boga
Nakuomba PM
 
Binadamu siyo nguzo.

Leo mnaoana kwa furaha na bashasha,
Miaka kadhaa anabadilika na kuwa mtu wa tofauti kabisa.
Wanaocheat wacheat ni kwa sababu zao binafsi na mostly ni kutoka kwenye nafsi zao yakakolezwa na external force.

Wasiocheat Mungu awabariki.
Amina, wanaocheat Mungu awasaidie waiepuke dhambi hiyo
 
wanawake Mungu atusaidie. ndani ya ndoa tunafanyiwa udhalilishaji kwa kisingizio cha "necha" mwanaume anachepuka. mchepuko unawekwa mpk public kwenye social media. mwanamke anatulia tu kwa ndoa.
naamini sana asilimia kubwa ya wake za watu wanaocheat ujue kuna sbb kubwa sana nyuma yake. basi we mwanaume cheat halafu muheshimu mkeo. mkeo amekuzalia watoto, anakuhudumia, mnavumilia mengi sana. lkn mchepuko unaupa kipaumbele kuliko mke. kwa kweli inahuma sana. ni wake wachache sana kwa rehema ya mungu wataepuka vishawishi vya chaeating kwa hali hii.
 
Back
Top Bottom