Tambua siri ya kupatwa na ugonjwa wa kisukari

Mleta mada binafsi naona unalengo zuri,lkn naona km hutumii maneno yakawaida ambayo mtu yeyote akisoma anaweza kutoka na ktu, mfano Kwann usiweke wazi kitafunwa ambacho mtu anaweza anaweza kunywa na chai kuliko kusema ooh protin Sijui kitu gani,ili elimu ifike kwa usahihi km ulivokusudia..
 
Mleta mada binafsi naona unalengo zuri,lkn naona km hutumii maneno yakawaida ambayo mtu yeyote akisoma anaweza kutoka na ktu, mfano Kwann usiweke wazi kitafunwa ambacho mtu anaweza anaweza kunywa na chai kuliko kusema ooh protin Sijui kitu gani,ili elimu ifike kwa usahihi km ulivokusudia..
Asante mkuu.kwanza kabisa naomba nikushukuru kwakua umetambua ninalengo nzuri. Lakini lapili kuhusu kuweka wazi nikwamba nimesha weka wazi humo kwa kusema ukitaka kutumia maandazi basi kaa Massa mawili ama matatu ili sukari iliokula kwenye chai ivunjwe, ndipo ule andazi hali kadhalika nikataja chapati na kadhalika. Nikataja makundi ya chakula kama Wanga na Protini ili kuelezea jinsi unavyotakiwa kula na sukari Nikasema Protini na sukari sawa na unaweza kula pamoja.nikiwa na maana hapo supu ya Nyama ama mayai na kadhalika ambavyo ni protini nisawa. Nikasema ngano ambayo ni chapati sio sawa kula na sukari, kwani itasababisha sukari ilio kwenye chai kuvunjwa taratibu
 
Samahani mkuu asali INA shida
Hapana asali ni fruktosi ni sukari inayotokana na mimea, ambayo nisawa na kula papai ama embe na kadhalika asali unapokula ina kwenda kufanya kazi moja kwa moja
 
Yap limao vipi ?
Limao ninaweza lielezea kwa utaratibu mwingine kabisa.Limao lina wingi wa vitamin C na kasium kwa wingi hivyo hufanya madini ya foliki yaweze kufanya kazi na husaidia chembe sahani katika damu, huko naona nisiende sana kwaufupi limao kwa mujibu wa mada hii ni salama kabisa
Asante mkuu.kwanza kabisa naomba nikushukuru kwakua umetambua ninalengo nzuri. Lakini lapili kuhusu kuweka wazi nikwamba nimesha weka wazi humo kwa kusema ukitaka kutumia maandazi basi kaa Massa mawili ama matatu ili sukari iliokula kwenye chai ivunjwe, ndipo ule andazi hali kadhalika nikataja chapati na kadhalika. Nikataja makundi ya chakula kama Wanga na Protini ili kuelezea jinsi unavyotakiwa kula na sukari Nikasema Protini na sukari sawa na unaweza kula pamoja.nikiwa na maana hapo supu ya Nyama ama mayai na kadhalika ambavyo ni protini nisawa. Nikasema ngano ambayo ni chapati sio sawa kula na sukari, kwani itasababisha sukari ilio kwenye chai kuvunjwa taratibu
 
Asante hii mada ni muhimu kuliko unavyofikiri kwa sisi wenye umri mkubwa shukrani sana
 
aise kwanini haya magonjwa yamezid sana siku hizi?? unataka kutuaminisha wazee wa zamani walikuwa hawanywi hizo chai na vitafunwa??
 
aise kwanini haya magonjwa yamezid sana siku hizi?? unataka kutuaminisha wazee wa zamani walikuwa hawanywi hizo chai na vitafunwa??
Vitafunwa walikua wanakula sanatu, ila sukari hii ambayo ndio imekuja kuleta shida haikuwepo,na ndio maana hata maradhi haya kwao ilikua ni ndoto
 
vipi kuhusu sukari ya matunda na asali? Zinamadhara? ningependa kujua dalili za kisukari. Yani mtu mwenye kisukari huwa anaumwa wapi haswa?
Asali na matunda havina madhara na Dalili za kushuku tatizo ni hizi. Kukojoa kupita kiasi(Mara kwa Mara)Kiu ya Mara kwa mara Kuchoka bila sababu.Dalili hizo ni dalili za awali kabisa za kuashiria sukari inapanda Lakini upande wa pili Dalili za kuashiria sukari inapungua ni kuchoka sana, kizungu zungu Kuona vitu viwili viwili na kukonda ghafla.
 
Kwa maana nyingine kama unakunywa chai unywe chai kavu bila vitafunwa, baada ya masaa mawili ndo tule hivyo tulivyoandaa kwa ajili ya chai.... Sawa but kibongo bongo sidhani tena kule kwa Bibi zetu hawatakuelewa kabisa
 
kuna ukweli kiasi na ila umezungumza in a shallow way ...wale wenye sukari za kurithi nao wamekula nini? unazungumzia sukari ipi ya kupanda au kushuka? nadhani ungejazia nyama zaidi umezungumza kwa wepesi sana mkuu..
 
Back
Top Bottom