Mambo vipi, si mbaya kama wanajamii tukaelezana jinsi tunavyospend hela zetu na kupeana ushauri..
Binafsi naingiza mil 10 kwa mwaka na natumia Mil 4 kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na familia, mil 2 kwa ajili ya matumizi yangu binafsi na inayobaki ni Akiba kwa ajili ya kuwekeza na wakati...
Mimi nadhani Maneno ya kiswahili hayajitoshelezi.. Hivyo naona ni vyema MTU anaposoma biblia awenazo 2 hasa kwa lugha ya kiingereza na kiswahili kwani anapotumia ya kiswahili pekee atabaki na maswali mengi.. Mfano
Yohana 2 : 4 - Yesu akamwambia, Mama, tuna nini mimi nawe? Saa yangu haijawadia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.