Kwa hiyoo watoto wiwili umeona hawatoshii unahangaika kupata watatu wa nje??? una matatizo ya akili kijana miaka 45 ila bado akili za balehee zimekujaa.
Yani Arsenal mpaka wapinzani huwa tunasupport angalau na nyie mbebe Epl moja mfute machozi kama Liverkuku lakini wanetuu hampo serious kabisa msimu uliopita kwa Liverpool ilikuwa hivi hivi😆
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.