Death is not a solution hata siku moja ila ni njia ya kuumiza wengine zaidi, MTAFUTE MTU UMWAMBIE TATIZO LAKO. hata kama hata kupa msaada itakusaidia sana wew.
Kupigana Kazini tenaa??? Hivi watu Ethics huwaga walisoma wakaziacha shule?? Emotion zinakucontrol mtoto wa kiume kiasi hichoo ila Hapo lazima Mapenzi yalitanguliaa🤣🤣🤣🤣Hasiraa za kazi huwezi piga mtu
Ukiishi na mwanamke ukaona kuna mabadiliko ya Tabia analeta tabia za Ovyoo mkanye waziwazi kwamba Sipendi Unavyofoka foka kama Unaongea na mtoto au sipendi kunitumia msg za kugomba Ila kama ulimuoa akiwa na tabia hizo kumbadilisha ni Ngumu. Mwanamke ni kama mtoto mlelee na kumweka kwenye Njia...
Kwa hiyoo watoto wiwili umeona hawatoshii unahangaika kupata watatu wa nje??? una matatizo ya akili kijana miaka 45 ila bado akili za balehee zimekujaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.