Recent content by rikiboy

  1. rikiboy

    Napinga Mikel Arteta kupewa mikoba ya Wenger sababu hana uwezo

    Sina uhakika juu ya mengi ila Kombee arsenal habebii
  2. rikiboy

    Gari analotumia "Makonda" lazua mjadala mitandaoni

    Hata tukibwekaaaa hakuna anaejali😀😀
  3. rikiboy

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Benfica ausioo🤣🤣🤣
  4. rikiboy

    Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

    Kwa mwanaume uwe hata na mtotoo.
  5. rikiboy

    Nahisi mtoto sio wangu

    Kweli ni mtoto wa afu 2000
  6. rikiboy

    Nahisi mtoto sio wangu

    Kwa hiyoo watoto wiwili umeona hawatoshii unahangaika kupata watatu wa nje??? una matatizo ya akili kijana miaka 45 ila bado akili za balehee zimekujaa.
  7. rikiboy

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Yani daah inaumiza sana
  8. rikiboy

    PostGE2025 Kihongosi: Jaji Warioba asiwe na chuki kwa viongozi waliopo, tunakuheshimu, staafu vizuri

    Fisi akitaka kumla mwanae huanza kumtania ananuka kama mbuziii… Mpaka sasa hakuna ambae anaweza kuwa salama ukileta mdomo
  9. rikiboy

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Yani Arsenal mpaka wapinzani huwa tunasupport angalau na nyie mbebe Epl moja mfute machozi kama Liverkuku lakini wanetuu hampo serious kabisa msimu uliopita kwa Liverpool ilikuwa hivi hivi😆
  10. rikiboy

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hivi hii timu ina laana ya mababu nini😆😆😆😆Yani hili kombe mkibeba niiteni mbwaaa.
  11. rikiboy

    Kuna shida kwenye Jeshi letu

    Nikikumbuka jinsi nilivyokuwa nalipenda Jeshi naumia sanaa kwa sasa na polisi naona sawa tu
  12. rikiboy

    GE2025 ICC: Godfrey Malisa chukua tahadhali, usije kuwa kama Humphrey Polepole. Please and please take note of this

    Yule malisa na Martin huwa wanaikanda serikali ilaa husikii wameguswaaa kijana ukiongea tuu siku mbilii ushapotea.
  13. rikiboy

    GE2025 Narudi kwa Polepole, kwahiyo ndiyo basi tena? Hivi kwanini ulijiamimisha hivyo kuwa hapa nchini

    Wenzie walilibeba kivitaa jambo lake yeye akadhani poa poa.
Back
Top Bottom