Nauliza, Dawa hii inayotumika kutibu Erectile dysfunction (Viagra/ Sildenafil) inauzwaje katika pharmacy zetu na prescription yake inakuaje?
Naomba mwenye kujua anifahamishe..Nina shida nazo.
Habari Ndugu zangu,
Naomba mnisaidie nifanye nini niweze kudumu angalau kwa mda mrefu zaidi katika tendo la ndoa na mke wangu, maana yani nikienda round moja tu ya dakika moja au mbili tayari nimemaliza na hua nashindwa kurudia mke wangu analalamika haridhiki na napenda nimridhishe.
Nisaidieni...
ni rahis, siku ya kwanza utakapopata hedhi ndo unaanza kuhesabu moja,kwavile umesema unapata siku tatu unapata hedhi,inamana baada ya hizo siku tatu dam itakatika,then hesabu mpaka utakapokuja kuona dam tena,yani hiyo hedhi,utakua umejua jumla ya siku zako katika mzunguko wako wa mwezi....
Nakushauri uende hospital mapema. utapata ushaur wa daktar na atakupatia dawa sahihi, mana hujatoa maelezo yote ambayo daktar anaweza kukusaidia kwayo, yawezekana ikawa ni HPV infection, fungal au hiyo herpes virus uliotaja....please nenda hospital mapema dada yangu l na usione aibu kwa ajili ya...
This is It..... Don't postpone the year without registering to the specified University first .... Your space will be occupied and thereby you will have to apply again freshly next year
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.