Mwanaume

Mwanaume

Umenifanye nmkumbuke headmaster wangu wa O_Level alikuwa anapenda waambia wasichana wasome japo wawe malaya wa dola na sio wa shilingi maana malaya wa shilingi hawajielewi, kipindi hicho nilikuwa naona kama anawatukana lakini leo nimeelewa kwanini alikuwa anaongea vile.
Kwakifupi wewe ni wa Shilingi
 
Je wewe unautamu uliokusudiwa?

Ukiwa mtam hakuna mwanaume atakayekunyima hela na hata kuwa tayari kukukosa.
 
  • Thanks
Reactions: Art
Sasa si umtumie msg Jamaa mwenyewe??? Halafu wakati mwengine nyinyi ndio mnapelekea tushindwe show... Mtu unafuatilia show as if unafuatilia Malipo ya bima ya NIC. Mara sijui usikojoe ndani, Mara fanya kwa makini, Mara unaniumiza, Mara nimechoka, Mara unanikomoa, Mara unachelewa kukojoa ulikua kwa mchepuko, Mara Hiyo Harufu umetoa kwa mwanamke gani, Mara umechelewa wapi, Mara pokea simu ya Malaya wako!!!! Unategemea kutakua Na show hapo? Hata ule tawi Zima la Mkuyati hupigi show Kali.

hahaaaaa, hapo umenena
 
Ha ha ha ha ha!! Wakati mwingine huwa na sisi tunaangalia wanaoridhisha... Sasa unakuta una Umbo la Kabati nani apoteze pesa Zake?

Halafu papuchi yenyewe ni afadhali ya bwawa LA mtera
 
Jiwe limerushwa hilo, anayelalamika huweza kuwa... A & B yote majibu
 
afu WAO ndio wananjaaa kila siku......wanapenda hela wamekua BANK sasa.
 
Back
Top Bottom