Recent content by Right3

  1. R

    Tumuunge mkono Paul Makonda katika kubadilisha Arusha 9 Desemba

    Umeniwahi nilitamani kuandika haya, huyu jamaa anajitihada na uthubutu ambao watu wengi hawana. Mimi kwangu kiongozi ni yule mwenye maono, uthubutu na ari ya kusimamia utekelezaji wa maono yake. Kwangu mimi huyu ni mtu bora sana ambaye anaweza kutusaidia kuondokana na mkwamo wowote kwenye sekta...
  2. R

    Kutokana na upungufu mkubwa wa walimu wa vyuo vya VETA nchini, Kamati ya Bunge ya PAC yaishauri serikalini iajiri walimu toka India na China

    Ingependeza kwa kuanza tuchague kozi kadhaa ambazo zitatuvusha baada ya muda mfupi kwa kuvutia wawekezaji kwa kua ujuzi utakuwapo.
  3. R

    Zitto Kabwe kimsingi ACT ndiyo itakufa zaidi kwa wewe kuondoka

    Hamumjui Zito, Zito ametoka lkn yeye pamoja na wengine ambao ni wazito watakua wanapata taarifa za mwenendo wa chama kila leo. Watakuaa na Strategy ya chama na malengo ya muda mrefu wa kati na mfupi na mpango wa uendeeshaji na watakuwa wanapata taarifa ya utekelezaji. Usifikiri huyo dada...
  4. R

    Esther Matiko ahoji tofauti ya mishahara kwa askari magereza na askari polisi licha ya kuwa wote wapo wizara moja

    Nilipoacha kazi hii na kurudisha magwanda 2008 walinishangaa sana wazee
  5. R

    Suala la umeme kwa sasa sio la kupuuzwa

    Tuliambiwa maji hakuna kwenye mabwawa tulikubali na mimi nimewahi kuwatetea pahala. Lakini kwa hali inavyokwenda hakuna nafuu. Tunaamini mabwawa kina kimeongezeka hata kama si kujaa kabisa lakini umeme haupatikani shida nini jamani? Umuhimu wa umeme mbaujua kweli ndio tumeshindwa kutatua hizo...
  6. R

    Waziri wa Kazi: Kwanini tusiandae mazingira ili makampuni ya simu yasiweke viwanda vyao nchini

    Asante BOSS hata Albert Einstein kwenye vumbuzi zake sio wote walimuelewa.
  7. R

    Waziri wa Kazi: Kwanini tusiandae mazingira ili makampuni ya simu yasiweke viwanda vyao nchini

    Nimejaribu kuwaza gharama za uzalishaji Marekani na Ulaya ziko juu kutokana na vyama vya wafanyakazi kusimamia kisawasawa maslahi ya wafanyakazi na gharama za maisha za nchi hizo. Makampuni mengi yakikimbilia uchina kwa kuwa kuna mazingira yanayoruhusi wao kwenda huko ikiwemo watu wenye ujuzi...
  8. R

    Viongozi wa soka wa Dunia wangetalii mbuga zetu tusingesonesha utalii wetu

    Nilifikiria kama nchi tungetumia uwepo wa viongozi wa soka wa Dunia kuwashawishi kutembelea mbuga zetu na kuwaomba kupost kwenye websites na page zao za mitandao ya kijamii. Kwa hili naamini tungeweza kuufikisha mbali sana utalii wetu zaidi ya Royal Tour(nawaza tu). Rais, TTB na wadau wengine...
  9. R

    Principal MUCE atuhumiwa kujiuzia shangingi kwa Tsh. 8,000,000/-

    Hii taarifa ni ya zamani huyo Mkuu wa Chuo amesimamishwa karibia miezi miwili sasa uchunguzi unafanyika na hatua stahiki zitachukuliwa.
  10. R

    Mbeya umeme unakatika kila siku zaidi ya masaa matano, mnatuumiza

    Ni Mbeya nzima kasoro maeneo yenye line ya mkuu wa mkoa na mahakama kuu
  11. R

    Tetesi: TANESCO 'kwazizima' Makamba kuhamishwa Nishati. Waendelea na 'mfungo'

    Ukiangalia kwa jicho jepesi unaweza fikiri wamefurahi kwa manufaa ya nchi la hasha. Kipindi cha Makamba na Maharage wamepunguza sana matumizi ya ndani ya shirika(Ya tenda mimi sijui). Madereva na maofisa wengine ambao walikua wanasafiri kila leo kila sehemu haya mambo hayapo tena. Walikua...
  12. R

    Tanzania inatarajiwa kuingia mkataba na Kampuni ya DP World ya Dubai kuendeleza bandari ya Dar es Salaam

    Ni kweli usiopingika bandarini kuna janja janja nyingi sana ambazo zinapelekea mapato kupotea. Kwa mfano; Nina kijana wangu ambaye alienda Zanzibar kununua Mashine kwa ajili ya kiwanda chake cha mbao. Alipofika bandari salama alikasimiwa kodi inayofikia milioni moja na elfu kumi na tano...
  13. R

    Haya maisha sio poa kwakweli

    Vumilia ukiwa na malengo endelea kutegemea ndugu kwa muda ukiwa unazichanga kidogo kidogo. Nunua tool box yako, jeki na vifaa vingine muhimu baada ya hapo tafuta kijiwe popote shinda hapo anza kazi. Huwezi kupata kazi nyingi kwa ghafla ila mbeleni watu watakuzoea utaletewa magari. Kingine baada...
Back
Top Bottom