Nilifikiria kama nchi tungetumia uwepo wa viongozi wa soka wa Dunia kuwashawishi kutembelea mbuga zetu na kuwaomba kupost kwenye websites na page zao za mitandao ya kijamii.
Kwa hili naamini tungeweza kuufikisha mbali sana utalii wetu zaidi ya Royal Tour(nawaza tu).
Rais, TTB na wadau wengine mlitakiwa mfanye jambo na huu ugeni mkuu wa Soka, km mmefanya basi itapendeza.
Ni heri tungetumia kidogo ili tupate kingi mbeleni.
Ingekuwaje INFANTINO analisha twiga, Simba na wanyama wengineo.
Ingekua vipi Sir Wenger yuko ameketi na wanyama wakali ilaenda viral, isingesaidia wengine kuja kufanya hivyo.
Nawaza tu.
Kwa hili naamini tungeweza kuufikisha mbali sana utalii wetu zaidi ya Royal Tour(nawaza tu).
Rais, TTB na wadau wengine mlitakiwa mfanye jambo na huu ugeni mkuu wa Soka, km mmefanya basi itapendeza.
Ni heri tungetumia kidogo ili tupate kingi mbeleni.
Ingekuwaje INFANTINO analisha twiga, Simba na wanyama wengineo.
Ingekua vipi Sir Wenger yuko ameketi na wanyama wakali ilaenda viral, isingesaidia wengine kuja kufanya hivyo.
Nawaza tu.