Suala la umeme kwa sasa sio la kupuuzwa

Right3

Senior Member
Aug 16, 2015
193
233
Tuliambiwa maji hakuna kwenye mabwawa tulikubali na mimi nimewahi kuwatetea pahala. Lakini kwa hali inavyokwenda hakuna nafuu.

Tunaamini mabwawa kina kimeongezeka hata kama si kujaa kabisa lakini umeme haupatikani shida nini jamani?

Umuhimu wa umeme mbaujua kweli ndio tumeshindwa kutatua hizo changamoto mana kwa sasa maji naamini yapo.

Kuna kipindi cha wiki moja nyuma kati ya Dec 27 to Jan 10 hakukua na shida sana yaumeme(maeneo nilipo) nikajua ndio kheri ya jumla imepatikana.

Basi tuwe tunaambiwa mara kwa mara km shida maji tujue, km mitambo mibovu tujue pia kwa kua tuna haki ya kufahamishwa.

Mjitahidi wakuu hili jambo sio la mzaha.
 
Tatizo hata halikuwa upungufu wa maji ndugu Right3..

Hawa CCM na serikali yao iliyoingia madarakani mwaka 2020 kwa wizi wa kula ni wajinga na wapumbavu sana..

Wanaitumia sekta ya umeme kuiba fedha za umma Ili wazitumie kuhonga honga watu wakati wa uchaguzi wa mwaka huu 2024 na ule mkuu wa mwaka kesho..

Yaani wanatengeneza matatizo ili wajifanye kuyatatua lakini Ukweli ni kwamba, hakuna kitakachokuwa kinatatuliwa.

Ushahidi ni ishu hii ya umeme. Walisema tatizo ni upungufu wa maji kwenye mabwawa ya uzalishaji. Lakini kwa zaidi ya miezi miwili mvua zinanakunya kwa wingi karibu nchi nzima. Lakini tatizo liko palepale na linaendelea kuwa baya zaidi. Kama sio uongo ni nini huu?

Na zaidi sana walituambia mapema mwezi Novemba kuwa tayari bwawa jipya la Mwalimu Nyerere [Stiglers Gorge] nalo linazalisha umeme.

Swali ni: Kwanini shida ya umeme nchi nzima ipo tu inaendelea huku hili limama (Rais Samia Suluhu Hassan) likiwa limejikalia kimya tu huku wananchi uchumi wao unaotegemea umeme kuzalisha ukiumia?

Hawa hayawani CCM tumeshawachoka na hawafai hata kwa chai tu. They must go now.!

Ni waongo na wazandiki wakubwa. Yanaiba pesa za umma na kuzirundika kwenye mabenki utadhani watazikwa nazo.

Tuendeleeni kuwakataa na kupambana nao kwa njia zozote zinazowezekana hadi tuwashinde.!!
 
Huu utawala wa Mama hauko serious na maisha yetu
Wanacho waza ni kubinafsisha kila kitu. Hadi mbuga zetu
Mambo ya kishenzi Kabisa yana endelea.
 
Naomba nirudie Tena "HATUNA UWEZO WA KUJITAWALA,INGEFAA TUTAFUTE MWEKEZAJI TUMKODISHIE SERIKALI NA BUNGE tubaki na mahakama,jeshi na vingine...
Kama hatuwezi hata kutengeneza maji hadi tununue mitambi nje ya nchi tunaweza Nini sasa?
 
Back
Top Bottom