Recent content by Right Guy

  1. R

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Kama shahidi wako anatoa ushahidi dhidi yako unakuwa na haki ya kumtangaza kuwa ni "hostile witness" ambapo sasa unakuwa na haki ya kumuuliza maswali ya dodoso (cross examination).
  2. R

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    LIsu ana haki ya kusema kwamba mashahidi wake wamekuwa "hostile witness" kwa hiyo anakuwa na haki ya kuwafanyia cross examination badala ya examination in chief.
  3. R

    JamiiForums Tanzania Napata wapi mkopo wenye riba ya 10%

    10% kwa mwezi kama una dhamana ya kueleweka tunaweza kunegotiate.
  4. R

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

    Kuchomeana kwake ndo wanavimbiwa? Yaani wanachomeana mpaka wanavimbiwa kuchomeana?
  5. R

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaenguliwa Mchezo wa Volleyball kwa kushindwa kutoa ada ya Dola 1,000

    Kwa hiyo wewe ulitaka tatizo liwe uongozi wa boda boda ndo Tanzania iwe tatizo?
  6. R

    JamiiForums Tanzania Mtoza Ushuru Arusha: Vitambulisho vya wamachinga vimezikwa Chato

    Huyo Zakayo atunukiwe PhD ya heshima kwa matumizi bora ya lugha ya picha. 😀😀😀
  7. R

    JamiiForums Tanzania US, UK , Kenya Paypal

  8. R

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Polisi angalieni upya taratibu zenu za upelelezi, kuwaweka watu mahabusu muda mrefu ni gharama kwa Serikali

    Ndio hana akili hata kidogo. Unatusumbua hapa na maswali ya kijinga. Nasoma comment za maana na wewe unakomaa kutetea division IV yako hapa. Bangladesh
  9. R

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima usitumie viti vya ukumbi wa mahojiano

    Ulitegemea system iliyosimamiwa na Bashite kuwa na mbinu gani zaidi ya kumwaga risasi?
  10. R

    JamiiForums Tanzania Visions & Trends Readings: Unaweza Usiamini Hili, "Namuona Baba Askofu Mpinga Chanjo, Ukichanjwa Chanjo ya Corona!"

    Typical stupidity in live action and brain malfunctions in display!!
  11. R

    JamiiForums Tanzania US, UK , Kenya Paypal

    Tapeli tu huyu asiwadanganye. I gave him benefit of doubt, nikasema 40,000 sio kitu hata akinitapeli maana ingekubali ningepiga hela ya maana. Nilimtumia hicho kiasi anitengenezee account ya Marekani lakini kanipa account bila namba, bila verification wala document yoyote. Hana huu uwezo...
Back
Top Bottom