Recent content by Right Guy

  1. R

    Napata wapi mkopo wenye riba ya 10%

    10% kwa mwezi kama una dhamana ya kueleweka tunaweza kunegotiate.
  2. R

    Rais Samia: Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, lakini mbona mnakula sana mnavimbiwa? Jipimieni!

    Kuchomeana kwake ndo wanavimbiwa? Yaani wanachomeana mpaka wanavimbiwa kuchomeana?
  3. R

    Tanzania yaenguliwa Mchezo wa Volleyball kwa kushindwa kutoa ada ya Dola 1,000

    Kwa hiyo wewe ulitaka tatizo liwe uongozi wa boda boda ndo Tanzania iwe tatizo?
  4. R

    Mtoza Ushuru Arusha: Vitambulisho vya wamachinga vimezikwa Chato

    Huyo Zakayo atunukiwe PhD ya heshima kwa matumizi bora ya lugha ya picha. 😀😀😀
  5. R

    Rais Samia: Polisi angalieni upya taratibu zenu za upelelezi, kuwaweka watu mahabusu muda mrefu ni gharama kwa Serikali

    Ndio hana akili hata kidogo. Unatusumbua hapa na maswali ya kijinga. Nasoma comment za maana na wewe unakomaa kutetea division IV yako hapa. Bangladesh
  6. R

    Askofu Gwajima usitumie viti vya ukumbi wa mahojiano

    Ulitegemea system iliyosimamiwa na Bashite kuwa na mbinu gani zaidi ya kumwaga risasi?
  7. R

    Visions & Trends Readings: Unaweza Usiamini Hili, "Namuona Baba Askofu Mpinga Chanjo, Ukichanjwa Chanjo ya Corona!"

    Typical stupidity in live action and brain malfunctions in display!!
  8. R

    US, UK , Kenya Paypal

    Tapeli tu huyu asiwadanganye. I gave him benefit of doubt, nikasema 40,000 sio kitu hata akinitapeli maana ingekubali ningepiga hela ya maana. Nilimtumia hicho kiasi anitengenezee account ya Marekani lakini kanipa account bila namba, bila verification wala document yoyote. Hana huu uwezo...
  9. R

    Big shame to those who made Magufuli believe he was immortal

    Kwani corona imeisha huko kwenu Nanjilinji?
  10. R

    Big shame to those who made Magufuli believe he was immortal

    System gani au ni uoga wake na matendo yake ndo yalikuwa yanamtisha!
Back
Top Bottom