Recent content by ricostersundi

  1. R

    Waziri Nchemba: Utoaji risiti za kielektroniki imekuwa kama punguzo la bei, mteja asipopewa risiti anapunguziwa bei

    Mimi kama Mimi nikipunguziwa bei nachangamkia fulsa.sababu hzo hela zenyewe wanalipana posho Tu huko na mishahara mkubwa Bila kuwakumbuka walipa kodi.mfano mwanza swala la barabara kila Pande mbovu.barabara ya nyamongoro stand kwenda nyamongolo kwenyewe barabara imechimbika inaweza sema hakuna...
  2. R

    Cleaner/Mtu wa Usafi Ofisini Anahitajika

    Yaan hela kiduchu hvyo alafu no mapumziko.mmh ,maisha magumu sana.kazi kuanzia saa7 am mpaka Saa 8 pm kwa mshahara huo sio mchezo.bora afanye kazi ya umamalishe alipwe sh 3000 per day na Kula anakula hapo hapo asubuhi na mchana.
  3. R

    DSTV muda sio mrefu tutawaacha mazima

    Cha antenna 49000.dish 75000
  4. R

    Jirani anafuga nguruwe wananikera sana, nifanyeje ili wafe?

    Hama.au uuze nyumba ukajenge polini
  5. R

    Mkandarasi wa SGR lot 5 anajitahidi sana

    Hawa jamaa wako vizuri sana.ndio wanaotengeneza daraja la kigongo busisi,ndio waliotengeneza barabara ya kiseke buswelu.na bank kuu ya mwanza hapo clinic.kwa ujumla mwanza wamepiga kazi sana na nizamaana
  6. R

    Watoto wa viongozi wakuu wa nchi walipwe ili kuwatia moyo

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125]
  7. R

    Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

    Kwa hyo kutembea kinyume na maumbile napo kunasamehewa?.mi najua Kuna dhambi 2 ambazo azisameheki ata ufanyaje.1 ni kumkufuru roho mtakatifu.2 kufanya mapenzi kinyume na maumbile
  8. R

    Swali: Hivi walokole wa karne ya 21, mnatongozaje wanawake siku hizi?

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  9. R

    Tunduma ni mji wa kipekee. Mapigo yake ni kama Kariakoo

    labda kwenye vibanda vya wanywa pombe za kienyeji kwenye vichochoro vya kuingia black ila sio hapo bolder au stand ya zaman Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
  10. R

    Tunduma ni mji wa kipekee. Mapigo yake ni kama Kariakoo

    watu tunaongelea bei kuwa chini na tunaongelea bolder sio miji mikuu.kwa hyo na wewe kwa uzoefu wako unataka kulinganisha mji wa tunduma na dar. Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
  11. R

    Tunduma ni mji wa kipekee. Mapigo yake ni kama Kariakoo

    we ndio umeielezea tunduma kwa mapana.ni mji ambao unamalori mengi kuliko miji yote tz ukitoa dar.kiti moto ni kama kuku tu huku.lodge hujaa kalibu siku zote.ni mji mmoja upo bize sana.kumkuta mtu ameshika million 30 mkononi na yupo kwenye msongamani wa watu nijambo la kawaida kabisa.ni boda...
  12. R

    Rais Samia: Dereva aliyeamua kuliingiza lorry kwenye korongo kwa kukwepa utelezi

    u Dr siwakupewa tu namachawa wa vyuo vikuu.tz hii imejaa machawa mpaka wenye PhD wapo
Back
Top Bottom