Hii tu ndio mmeiona? Mbona hamsemi Lemshuku,ugutu, landanai, Naberera? Kote huko ni utajiri wa Manyara ila serekali haeindi kufanya tafiti kuinua uchumi wa nchi hao wana ngoja waibe.
Baada ya mbunge kijana Joshua Nassary kutimiza moja ya ahadi zake ya kurudisha soko la mbuguni tena, wananchi wa kata ya mbuguni na sehemu za jirani wanangoja kwa hamu kurejea tena kwenye soko lao huku kukiwa na hofu kuwa mkurugenzi kawekwa kiti moto na kuambiwa aje akanushe.
Kurudi soko...
MKAPA mnafiki,mwoongo, mzushi kama aliweza kusema hamtambui vicent nyerere kuwa ni mtoto wa mwalimu na wakati alikuwa na kijana kwenye maziko ya mzee kiboko anashindwa kuwauwa wana mtwara' MTWARA komaeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.