Recent content by rico

  1. R

    UDSM uchaguzi wa Rais na makamu wake wapamba moto

    Mm naamini wasomi wote ni CHADEMA, uchaguzi mwema.
  2. R

    Godbless Lema live Channel Ten

    Majembe ya Chadema yote yamenolewa acha hivi vibutu vya maccm. Lema kaza buti.
  3. R

    Mahakama Kuu yapeleka kesi ya Lwakatare 'chamber court'

    Yani hapa ccm ni sawa wamebisha hodi wakati wameingia ndani hamna moto watakao acha kuona.
  4. R

    CHADEMA yaicharaza CCM Bumbuli, Tanga

    viva CHADEMA nakupenda wewe chama makini hongera bumbuli.
  5. R

    Kenya Election 2013 Petition...Uhuru and Ruto's victory upheld.

    kenya matawi ya juu hapa kiwete ameuweka tu na maccm
  6. R

    Economic Forum at SAUT: Prof. Muhongo, Lissu ndani (March 16, 2013)

    usisahau kuturushia picha mkuu na tupe dondoo za hadhira wana mtazamo gani hapo!
  7. R

    Majimbo ya Magu na Busega yaanza kwenda CHADEMA

    Bomba CHADEMA mwendo mdundo mkuu saa mbili ndio hiyooooo tujuze tuanze mafuraha
  8. R

    ARUSHA Newly-Discovered Gold Deposits in KARATU DISTRICT to Benefit Locals - Official...

    Hii tu ndio mmeiona? Mbona hamsemi Lemshuku,ugutu, landanai, Naberera? Kote huko ni utajiri wa Manyara ila serekali haeindi kufanya tafiti kuinua uchumi wa nchi hao wana ngoja waibe.
  9. R

    Wana Mbuguni tunangoja soko kwa hamu

    Baada ya mbunge kijana Joshua Nassary kutimiza moja ya ahadi zake ya kurudisha soko la mbuguni tena, wananchi wa kata ya mbuguni na sehemu za jirani wanangoja kwa hamu kurejea tena kwenye soko lao huku kukiwa na hofu kuwa mkurugenzi kawekwa kiti moto na kuambiwa aje akanushe. Kurudi soko...
  10. R

    CV ya waziri kivuli wa mambo ya Ndani: Vincent Nyerere

    vicent ni noma talanta hiyo
  11. R

    Mkapa ajitosa sakata la gesi, apendekeza njia ya mazungumzo kutafuta muafaka!

    MKAPA mnafiki,mwoongo, mzushi kama aliweza kusema hamtambui vicent nyerere kuwa ni mtoto wa mwalimu na wakati alikuwa na kijana kwenye maziko ya mzee kiboko anashindwa kuwauwa wana mtwara' MTWARA komaeni.
  12. R

    Dr. Slaa aongea na wanafunzi katika Kongamano la wanavyuo

    Tupe muda kamanda na kama litarushwa hewani tujuze ni channel gani'CHADEMA MWENDO MDUNDO'
  13. R

    Saed Kubenea kugombea ubunge 2015 kupitia CHADEMA

    Chadema mwendo mdundo!
  14. R

    Shibuda: CHADEMA imepoteza mvuto kanda ya ziwa, mbioni kuweka mambo hadharani

    ww wacha uvivu wa kuvikiri watu wote wenye busara wapo cdm Think twice umetumwa nn?
Back
Top Bottom