Bukutonaga
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 246
- 46
Ndugu wana Jamvi!
Kwa taarifa nilizozipata tangu jana saa mbili usiku CHADEMA imeinyanyasa vibaya CCM-Police ni katika uchaguzi wa vijiji na vitongoji vilivyopo katika wilaya hii ya Magu na Busega maana mpaka mda huo nilipata highlight kuwa pale Magu mtaa wa Bank ambao ni kitovu cha Mji mtaa umeenda CHADEMA na Kwa Busega Kitongoji cha Nyashimo ambapo hata ofisi ya sasa ya mkuu wa wilaya ipo nao umeenda na CHADEMA + Nafasi nne za wajumbe wa serikali ya kijiji nafasi zote zimeenda CHADEMAso siyo mbaya nikisema hata Mzindakaya Jr ni mwanachama wetu sasa maana atafanya kazi zake chini ya uangalizi wa makamanda.
Siyo hapo tu na vijijini tumeburuza vya kutosha wasukuma tuna msemo wetu (TUTUDAKAGA TUJA BATU TUJA NO) Tafasiri ya haya maneno "HATUTAKI DHARAU WAMETUDHARAU VYA KUTOSHA" Mpaka mida ya saa 2 asubuhi ntakuwa na matokeo ya Vijiji vyote Just follow me.
:welcome:- T 2015 CDM
Kwa taarifa nilizozipata tangu jana saa mbili usiku CHADEMA imeinyanyasa vibaya CCM-Police ni katika uchaguzi wa vijiji na vitongoji vilivyopo katika wilaya hii ya Magu na Busega maana mpaka mda huo nilipata highlight kuwa pale Magu mtaa wa Bank ambao ni kitovu cha Mji mtaa umeenda CHADEMA na Kwa Busega Kitongoji cha Nyashimo ambapo hata ofisi ya sasa ya mkuu wa wilaya ipo nao umeenda na CHADEMA + Nafasi nne za wajumbe wa serikali ya kijiji nafasi zote zimeenda CHADEMAso siyo mbaya nikisema hata Mzindakaya Jr ni mwanachama wetu sasa maana atafanya kazi zake chini ya uangalizi wa makamanda.
Siyo hapo tu na vijijini tumeburuza vya kutosha wasukuma tuna msemo wetu (TUTUDAKAGA TUJA BATU TUJA NO) Tafasiri ya haya maneno "HATUTAKI DHARAU WAMETUDHARAU VYA KUTOSHA" Mpaka mida ya saa 2 asubuhi ntakuwa na matokeo ya Vijiji vyote Just follow me.
:welcome:- T 2015 CDM