Habari watu wa Mungu.
Nimekua nikifuatilia sana siasa za nchi hii,tatizo la wanasiasa wenginwa sasa,hasa vijana,ni kutafuta "nitoke vipi".
Hawana saiasa za masuala,wanafanya siasa za matukio.
Mtakumbuka,ishu ya ufisadi,watu waliamka nayo kwelikweli,sasahivi haipo,hali iliyopo na mwanasiasa...