Tanzania kukabiliwa na baa la njaa

Tanzania kukabiliwa na baa la njaa

RickNess

Member
Joined
Feb 10, 2019
Posts
7
Reaction score
37
Habarini za hapa!!
Nimezunguka maeneo mbalimbali ya nchi yetu,jua ni kali. Jua linawaka la kutosha.
Hali hii ikiendelea hivi,ni wazi kua nchi yetu itakabiliwa na uhaba mkubwa sana wa chakula mwakani.

Mwaka 2018,nchi yetu iliapata neema ya kupata mavuno mengi sana,ila kwa hali ilivyosasa,na kama itaendelea hivi,serikali ijiandae kuwahudumia mamilioni ya watanzania watakaokabiliwa na njaa.

Mungu aepushie mbali.
 
Nyanda za juu kusini mvua za kutosha na mavuno yanatarajiwa kuwa mengi. Mikoa hii ndio inayotoa kiasi kikubwa zaidi cha chakula nchini. Kutakuwa na uhaba mkubwa wa chakula endapo mikoa hii itaathirika.
 
Kwa kanda zinazotegemea mvua za masika kipindi hiki mda wa mvua ni mwanzo wa mwezi April kwa hiyo acha woga ndugu...
 
Habarini za hapa!!
Nimezunguka maeneo mbalimbali ya nchi yetu,jua ni kali. Jua linawaka la kutosha.
Hali hii ikiendelea hivi,ni wazi kua nchi yetu itakabiliwa na uhaba mkubwa sana wa chakula mwakani.

Mwaka 2018,nchi yetu iliapata neema ya kupata mavuno mengi sana,ila kwa hali ilivyosasa,na kama itaendelea hivi,serikali ijiandae kuwahudumia mamilioni ya watanzania watakaokabiliwa na njaa.

Mungu aepushie mbali.
Uko sahihi nikupanda mazao ya muda mfupi na mbadala tuache mazoea ya kula ugali na wali tu! na tule vyakula mbadala
 
Kuongelea njaa nchi hii ni sawa na kukutwa na nyara za serikali. Jiangalieni sana
 
Habarini za hapa!!
Nimezunguka maeneo mbalimbali ya nchi yetu,jua ni kali. Jua linawaka la kutosha.
Hali hii ikiendelea hivi,ni wazi kua nchi yetu itakabiliwa na uhaba mkubwa sana wa chakula mwakani.

Mwaka 2018,nchi yetu iliapata neema ya kupata mavuno mengi sana,ila kwa hali ilivyosasa,na kama itaendelea hivi,serikali ijiandae kuwahudumia mamilioni ya watanzania watakaokabiliwa na njaa.

Mungu aepushie mbali.

Hapo utasikia tamko kwamba Mkuu wa Mkoa au Wilaya atakayetangaza kuwa kuna njaa imekula kwake, hana kazi,
Sitatoa chakula cha bure asiyefanya kazi na asile, afe!
 
Juzi nilikua dsm mda flani ikanyesha mvua watu wakadai imekuja baada ya dini flani kuomba mvua inyeshe..


Ndio nikapata maana kamili ya neno "mtu wa dar " iv unawezaje kuomba mvua huku hata bustani ya maua huna?

Na mbaya zaidi unaishi makorongoni [emoji28]

Siku nyingine mkaombee vijijini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo utasikia tamko kwamba Mkuu wa Mkoa au Wilaya atakayetangaza kuwa kuna njaa imekula kwake, hana kazi,
Sitatoa chakula cha bure asiyefanya kazi na asile, afe!
Utasikia kunawatu wanashirikiana na mabeberu halafu makofi pwa! pwa! wakati ni tabia nchi
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Back
Top Bottom