Recent content by richie hassan

  1. richie hassan

    Kucheua kwa kiingereza ni nini?

    Wakuu naomba msaada kucheua Kwa English ni nini mfano unasema "John amecheua.."
  2. richie hassan

    Tumbo kuunguruma, nini tatizo

    Dawa ya tumbo kunguruma, tumbo inanguruma sana .
  3. richie hassan

    Tatizo la kutokwa Jasho lisilo la kawaida katika sehemu mbalimbali za mwili (Hyperhydrosis)- Fahamu Chanzo, tiba, ushauri

    Jasho la kwapani linanitesa sana Ukitembea kidogo tu, kama vile Bomba limefunguliwa koki mpaka mwisho. Nini dawa yake wakuu? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. richie hassan

    Scenario

    Scenario ina Maana gani.. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. richie hassan

    Tatizo la kutokwa Jasho lisilo la kawaida katika sehemu mbalimbali za mwili (Hyperhydrosis)- Fahamu Chanzo, tiba, ushauri

    Ndugu zangu naomba msaada ni nini dawa ya kutokwa jasho kwapani. Yaani hili tatizo limekuwa linanisumbua sana, kila nikivaa tu kidogo nguo nikatoka kama dakika 12 tu tayari natokwa na jasho kali. Naomba msaada katika hili Sent using Jamii Forums mobile app
  6. richie hassan

    wimbo wa sugu HAKI

    Wadau nimetafuta sana huu wimbo wa HAKI ulioimbwa na 2 pround ft justine kalikawe, sijaupapa naomba mwenye nao atupie hapa tuweze upata
  7. richie hassan

    Kuweka dolla katika account ya kawaida

    ndug naomba msaada katika hili, niko na account yangu ya kawaida tu nimefungua crdb ila siku za karibuni nimepata wageni wangu wa njee ya nchii wamenipatia usd kias kama usd 2000. Sasa naomba kujuzwa je,naweza nkaweka hela USD katik account yangu au kuna taratibu nyingne za kuifanya acccount...
  8. richie hassan

    Ni nyimbo zipi za Sugu zenye Ujumbe na zilizohit sana kuliko za Professor J?

    tntumie basi nyimbo kama,hapo zamani, nje ya bongo, haki
  9. richie hassan

    Wimbo mgambo natafuta huu wimbo

    Huu wimbo nani anao "WAGAMBO" sidhan kama nimekosea jina ila mistari yake ni "WAGAMBO TUHESHIMIWE TUTHAMINIWE " wa long sana
  10. richie hassan

    Natafuta huu wimbo

    nisaidie basi mkuu kama unao!
  11. richie hassan

    Natafuta huu wimbo

    Mwenye nyimbo aliyoshirikishwa juma nature jina nimelisahau ila nakumbuka chorus 'Tutoe adhabu gani juu ya hawa wanaoturoga*2, Kuwa wanaoturoga tunaamini ni shetani, Mwanga anaetutupia majini ni jirani, Naiombeni waungwana.
  12. richie hassan

    Someone hacked my Facebook account

    jamani naomba msaada how to restore back my fb account bcuz kuna mtu ameni-hack, naombeni ujuzi kidgo jinsi ya kuirejesha. pia itakuwa ni elimu pia kidgo kwa wale ambao wanahitaji kujua na kujifunza
  13. richie hassan

    DStv decoder na USB PORT

    sasa kwanini wameandika kwenye guide book yao kuwa Not active.???
  14. richie hassan

    DStv decoder na USB PORT

    Niaje Washkaji,, nimenunua Decoder ya DStv nyuma nimekuta USB port lakini inaoneka haiko active nimechomeka flash lakini hai-detect,nikajaribu kucheck Guide Book zake nikakuta inaniambia Not active. Sasa nashindwa kuelewa kama not Active kwanini wameweka Option ya usb na mimi nahitaji sana...
  15. richie hassan

    Miracle Box Mwenye nayoo

    Sorry Mwenye software ya Kulfash Simu Miracle Box Naomba tafadhali anipatie link tu ...
Back
Top Bottom